Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Viwanja vinauzwa vipo Kibaha mjini kata ya Pangani vinauzwa 4000 sh kwa square meter vinaanzia 20 kwa 20 na hadi vya 20 kwa 43 kwa 30. Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba hizi 0754/0715...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninauza simu aina ya samsung galaxy s2 (at &t). ipo in very good condition haina shida yoyote. Bei ni laki 4. nipo arusha kwa sasa. Contacts: 0786305664
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Wadau Naombeni Mnijuze Ipi Ni Piki2 Bora Zaidi Ya Nyingine. Nataka Kununua Kwa Matumizi Yangu. Je Ni Kweli Boxer Inatunza Mafuta Yaan I Lita Kwa 60 Km Lkn Haimili Miki2? Vip Kuhusu Sanlg? Msaada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipad 4 in mint condition inauzwa ina uwezo wa 64gb....ina wifi pamoja inaingiza cheap pia......
0 Reactions
8 Replies
1K Views
now nna 190000 npo dsm nibip now nije kuchukua walau iwe inchi 22, 0766988326
0 Reactions
0 Replies
43K Views
Mawasiliano;0656063933
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf,kuna jirani yangu anauza toyota carina si ya mwaka 2000,in dar haijawahi kwenda zaidi ya buguruni tangu imetolewa bandarini mwaka jana december,inatoka mara moja kwa wiki kwa ajili ya...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Vifuatavyo mi muhimu sana. 1. Maji yakiwa ya dawasco itakuwa poa zaidi 2. Umeme 3. Masharti magumu yasiwepo kwani utalipwa pesa yako yote tutakayokubaliana. 4. Kisiwe mbali na main road hasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta subwoofer kwa yeyote anayeuza .npo dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nauza nokia e63 ina uwezo wa kusoma mafaili makubwa amabayo yapo kwenye mfumo wa pdf yaani portable document format na pia internet yake ipo fasta bei laki na 60 used ila ina kila kitu nicheki kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
pata Tv ya ukutani ya Samsung 42'' LED Full HD TV kwa bei rahisi 950,000/= (negotiable). Imetumika mwezi mmoja sasa, bado ipo kama mpya. Kuiona tuwasiliane 0716-904626, Arusha.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nauza blackberry z10 nyeusi, iko kwenye hali nzuri sana, imetumika 2 weeks. Inakuja na charger, bei tsh 680,000. Kama uko interested nichek at 0717301520, or pm
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Nokia lumia 800 mpya,pamoja na kila kitu chake ni nyeusi..!bei ni 450k.......0712720080
0 Reactions
3 Replies
1K Views
anaeuza flat screen desktop anipm bei tufanye biashara..iwe ina kila ktu chake..nchi 21..
0 Reactions
1 Replies
982 Views
PATA KOMPUTA AINA YA DELL KWA GHARAMA NAFUU YA KIASI CHA SHILINGI 280,000/= THS KILA MOJA. Dell Latitude D610 1.SYSTEM: Processor Type . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, Wanaohitaji kufanya biashara ya kuuza mikate, kuna seti ya mashine zinauzwa Mjini Dodoma. Mixer kilo 25, Oven deki 3, na bread slicer. Mashine zote zipo order. Bei maelewano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
USED CANON IR 2200i kama ilivyo kwenye picha nauza kwa sh 2.5m,aliye serious anipigie simu hii 0768808819 ama misasophie@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A well maintained Crv Honda for sale at a reasonable price of 9 million only. Only serious buyers may contact me via 0718-551122/0716-84008 stay blessed
0 Reactions
4 Replies
978 Views
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title deed yaan (hati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta pikipiki aina ya sunlg ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 na haina matatizo. Kama upo tayari kuuza weka picha ya pikipiki hapa na bei yake. Nipo mlandizi kibaha
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…