Viwanja vinauzwa vipo Kibaha mjini kata ya Pangani vinauzwa 4000 sh kwa square meter vinaanzia 20 kwa 20 na hadi vya 20 kwa 43 kwa 30.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba hizi 0754/0715...
ninauza simu aina ya samsung galaxy s2 (at &t). ipo in very good condition haina shida yoyote.
Bei ni laki 4. nipo arusha kwa sasa.
Contacts: 0786305664
Wadau Naombeni Mnijuze Ipi Ni Piki2 Bora Zaidi Ya Nyingine. Nataka Kununua Kwa Matumizi Yangu. Je Ni Kweli Boxer Inatunza Mafuta Yaan I Lita Kwa 60 Km Lkn Haimili Miki2? Vip Kuhusu Sanlg? Msaada...
Wana jf,kuna jirani yangu anauza toyota carina si ya mwaka 2000,in dar haijawahi kwenda zaidi ya buguruni tangu imetolewa bandarini mwaka jana december,inatoka mara moja kwa wiki kwa ajili ya...
Vifuatavyo mi muhimu sana.
1. Maji yakiwa ya dawasco itakuwa poa zaidi
2. Umeme
3. Masharti magumu yasiwepo kwani utalipwa pesa yako yote tutakayokubaliana.
4. Kisiwe mbali na main road hasa...
nauza nokia e63 ina uwezo wa kusoma mafaili makubwa amabayo yapo kwenye mfumo wa pdf yaani portable document format na pia internet yake ipo fasta bei laki na 60 used ila ina kila kitu nicheki kwa...
pata Tv ya ukutani ya Samsung 42'' LED Full HD TV kwa bei rahisi 950,000/= (negotiable). Imetumika mwezi mmoja sasa, bado ipo kama mpya. Kuiona tuwasiliane 0716-904626, Arusha.
Nauza blackberry z10 nyeusi, iko kwenye hali nzuri sana, imetumika 2 weeks. Inakuja na charger, bei tsh 680,000. Kama uko interested nichek at 0717301520, or pm
Habari wana JF,
Wanaohitaji kufanya biashara ya kuuza mikate, kuna seti ya mashine zinauzwa Mjini Dodoma. Mixer kilo 25, Oven deki 3, na bread slicer. Mashine zote zipo order. Bei maelewano...
A well maintained Crv Honda for sale at a reasonable price of 9 million only.
Only serious buyers may contact me via
0718-551122/0716-84008
stay blessed
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala
kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na
sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika
na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title
deed yaan (hati...
Natafuta pikipiki aina ya sunlg ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 na haina matatizo. Kama upo tayari kuuza weka picha ya pikipiki hapa na bei yake. Nipo mlandizi kibaha