Mchele kwa bei nafuu Arusha na Dsm

Mchele kwa bei nafuu Arusha na Dsm

tinna cute

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
4,630
Reaction score
2,316
Habari zenu wakuu,
Nauza mchele kwa bei nafuu ya tshs 1600 kwa kilo. Hiyo bei ni kwa kuanzia kilo ishirini. Kwa anayehitaji ani pm tuongee zaidi!!!!
 
Duuu! Yan hiyo ndio bei rahisi kwako wakati wenzio tunatoa mzigo hadi kwa 1450 kwa super! Nashauri kama chini ya hapo haikulipi ni bora usubiri december!
 
Duuu! Yan hiyo ndio bei rahisi kwako wakati wenzio tunatoa mzigo hadi kwa 1450 kwa super! Nashauri kama chini ya hapo haikulipi ni bora usubiri december!

asante kwa ushauri.
 
Mimi nimenunua mchele supa kilo 20 kwa shilling 1300
 
Mh super kwa 1600 hii bei mkuu chondechonde supa inauzwa hadi 1300
 
Kwa sasa mchele ni mwingi sokoni kwahiyo utasubiri sana ili upate bei unayoitaka
 
Bado na Riz1 analeta wake kutoka Vietenam.....
 
Back
Top Bottom