nauza nokia e63

nauza nokia e63

bori hamisi

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
56
Reaction score
2
nauza nokia e63 ina uwezo wa kusoma mafaili makubwa amabayo yapo kwenye mfumo wa pdf yaani portable document format na pia internet yake ipo fasta bei laki na 60 used ila ina kila kitu nicheki kwa namba 0716928197
 

Attachments

  • Photo1635.jpg
    Photo1635.jpg
    42.4 KB · Views: 108
  • Photo1636.jpg
    Photo1636.jpg
    33.7 KB · Views: 87
  • Photo1637.jpg
    Photo1637.jpg
    48.1 KB · Views: 76
hahaha!kaka skuharibii biashara ila hyo simu kwa sasa used unapata kwa 90,000
 
ina ufuta na ukwaju bazoka,opena na jiko nn mpk uuze 160k
 
Back
Top Bottom