Wana-JF,
Natafuta pumps ndogo za maji zinazotumia umeme wa DC.
Nataka kutumia pump hizo kwenye systems za aquaponics kwenye miradi ya ufugaji samaki na kilimo cha mboga.
Naomba anayefahamu wapi...
habari wakuuu naomba mwenye laptop aniuzie kwa bei ya laki 4. Nahitaji brand zifuatazo dell,hp,compaq,hp au toshiba. Iwe na sifa hizi processor walau 1.8 ghz dual core or higher, 2gb ram or...
tumeboresha, kwenye blog yetu sasa tumeamua kusaidia jamii hasa wanafunzi na watu wengine kupata material ya sheria bure. ukiingia hapo kwenye downloads utapata vingi. tunaviweka kila siku na...
Naitwa Kevin nipo Dar. Nauza Samsung Galaxy star GT S5282. IPO kwenye halo nzuri nmeinunua kama mwezi tu umepita. Ina kila kit name box lake bei: 160,000/= Tshs maelewano yapo. Kwa walio serious...
Nimechoka na upuuzi ninaofanyiwa na mama mwenye nyumba. Mimi ni mwanaume, sijaoa. Nahitaji vyumba viwili, chumba na sebule. Ikipatikana self contained itakuwa bora zaidi. Yaani hapa umeme...
Mwenye Utalaam na Ujuzi wa kutosha wa ku-design cover za vitabu na pia kufanya editing ya kitabu na kukiandaa tayari kwa printing tuwasiliane. Ani-pm na kunipa namba yake ya simu ili tuwasiliane...
Hello great thinkers,
Ninatafuta gari hyo, mwaka wowote ule but iwe katika hali nzuri. Budget yangu ni 18M-20M. Picha ni muhimu.
Mwenye nayo/mwenye taarifa za wapi ipo ani-pm. Natanguliza...
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
Get Logo,Banner, Letter head,proforma invoice ,delivery note,Tax invoice, and many more different designs for only Tshs 20,000/= per each in a bundle of 10 up to 20 artworks, your most welcome...
Nina mteja ana cash money tayari anahitaji nyumba ya kununua Mbezi Beach. Kama unayo wewe binafsi, au jamaa yako, au rafiki yako n.k tuwasiliane katika namba hii: 0755312233.
Iko katika hali nzuri sana. Mbali na kuwa na speed nzuri sana (240),
imesajiliwa kwa abiria maxim 12 mwaka juzi toka Japan kwa no T 302 BVS,
Year / Month
2002/06
Odometer
100,500 km...
Nauza simu ya sony xperia z, ni black colour, ni used na iko kwenye hali nzuri sana, imekuwa imported kutoka uk. Inakuja na cover tu.
Kwa wasioifahamu, baadhi ya specs zake ni:
· Quad core...