Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji kukodisha trekta kwa ajili ya kusafiaha shamba maeneo ya Tuangoma. Wapi naweza kupata trakta la kukodi hapa Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
941 Views
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
2 Reactions
5 Replies
828 Views
naomba kuuliza wakuu hii piki piki ni inzuri sio kimuonekano apana perfomance yake kwenye barabara korofi na lami? pia vifaa vyake na mafundi wakawaida wana zitengeneza?
1 Reactions
1 Replies
765 Views
Nokia yangu naiuza nami nisherekee Mapinduzi kwa wali nazi. Bei 19000/= Tshs,yaan elfu kumi na tisa tu. Inakaa na chaji mpaka unaboeka. Nipo Kigamboni kwa steven hapa. Piga simu moja 0625697394...
0 Reactions
3 Replies
462 Views
TOYOTA IST (DMX) Year 2005 Engine 1NZ Cc 1290 Haina shida yyt Ile Bei 10.9mls
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nauza Toyota Hiace inapiga Daladala Mwanza, bei milioni 10 tu, maongezi yapo. Mawasiliano 0753311398
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Habari mdau, Kama upo Mbeya, Nanenane au Tukuyu inajishughulisha na duka la pembejeo na una mbegu za Mchongoma kwa ajili ya fensi. Tokea chap nikupe dili. Asante.
1 Reactions
0 Replies
701 Views
MIZANI YA KUPIMIA MADINI ZINAPATIKANA TUPO DAR ES SALAAM, tunadeliver bure Dar es Salaam. Bei ya OFA Tshs. 50,000 badala ya Tshs. 60,000 (Tunadeliver Bure Dar es Salaam) Pia tunauza kwa bei ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibu ATR CONSTRUCTION CO LTD, tunafanya Design ya ramani, kufanya makadilio ya gharama ZA ujenzi, na kufanya ujenzi kabisa. [emoji625]Ofisi ZETU ZIPO UBUNGO NHC NR UBUNGO PLAZA-DAR TUPIGIE...
0 Reactions
0 Replies
467 Views
Samahanini wajumbe ila nlikua naulizia sehemu wanauza mbegu za michongoma na bei yake ikoje?naweza kupata msaada wa contact za wauzaji
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4 Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v) Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales) Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10 Price...
1 Reactions
426 Replies
28K Views
Nakodisha gari aina ya nissan patrol gr kwa matumizi private na tour mawasiliano 0745434945 Gari ipo Dar
1 Reactions
5 Replies
674 Views
3 Rooms with A/C Servant Quarters Available 600,000 per month > Unfurnished 900,000 per month > Furnished Dm your offers, tufanye biashara.
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni mbobezi katika kutafuta location za biashara kwa wenye mitaji. Niko DAR ES SALAAM Kona zote nazijua Comment mtaji wako nikupe wazo la biashara n'a location au nuchek pm
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hello Ndugu zanguni, Nilikuwa natafuta Mwani wa bahari, wapi naweza pata ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Asanteni sana mkuu.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Ipo Tegeta Dar es salaam, haina tatizo lolote. engine ipo safi na nimeifunga mwaka jana mwezi wa kwanza,.hapo ni kuwasha na kuondoka. bei ni 35 milioni hakuna dalali, ni mimi mwenyewe hivyo...
1 Reactions
0 Replies
559 Views
Katika enzi ya teknolojia, ulinzi na usalama wa data zako ni muhimu zaidi kuliko hapo awali. Picha, nyaraka muhimu, na mafaili ya kazini vyote vinahitaji kutunzwa na vizuri kuwa na backup. Na USB...
1 Reactions
0 Replies
468 Views
Car GPS tracker GPS ni kifaa cha kisasa kinachotumia teknolojia ya Global Positioning System ili kubainisha kwa usahihi eneo la gari kwa wakati halisi. Kifaa hiki kimezidi kuwa maarufu kutokana na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Tv ni frameless full box ni mpya mwenye kuitaji anicheki +255 655226738
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Kibamba Gogoni Dar, ukubwa wa mita 20 kwa 20, umbali wa km 1 toka stand /Morogoro road, miundombinu ya maji na umeme pamoja na barabara vipo. Bei ni 8 millions(mazungumzo yapo)...
1 Reactions
3 Replies
960 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…