The DVD & Audio CD "Kupunguza Unene Na Kitambi" is now available and will soon be launched. This is a joint Project between ConsNet Group and The Eastern Africa Professionals & Business Network -...
Je ungependa kupata mawazo chaya juu ya mambo mbalimbali yanayohusu mafanikio katika maisha, biashara, afya kama kupata nafuu au kupona katika matatizo yako mbalimbali ya afya yako ya mwili na...
[emoji874] Iko katika hali nzuri ni ya 2021. Muuzaji ni mimi mwenyewe.
[emoji874] Ina vitu na nyaraka zifuatazo:
1. Bima hadi Feb 23
2. Latra hadi Jun 23
3. Haina deni la TRA kwa mwaka 2022
4...
Nauza Gpu yangu ambayo nilinunua mwenyewe mpya ya gigabyte gt 1030, inacheza games nyingi za zamani 1080p low setting na games mpya kwa 720P.
-Vram 2GB Gddr5
-ulaji umeme maximum watts 30...
KARIBU SANA MPENDWA MTEJA WANGU
Leo nimewaletea uzi huu kwaajili ya mashuka pekee, bei na size ni kama ifuatavyo;-
[emoji837]Size 6"6 sh.22,000 (Shuka 2 na Pillowcases 2)
[emoji837]Size 6"7...
Naitwa Sanctus Mtsimbe na naomba niungane na wana JF wengine waliojitambulisha kwa majina yao halisi na kuomba tuweze kuungana na kufanya mambo ya kimsingi katika kuleta maendeleo ya nchi yetu...
Kisiwe mbali na lami, yaani isizidi 3km.
Ukubwa usipungue 30×35 au around hapo.
Kiwe tambarare.
Pesa ipo kwenye mfuko wa shati. (Kama bei itakuwa reasonable).
Sifa za chumba
Kiwe kidogo
Kingae, I mean kipya kipya na vigae chini.
Wilaya ya ubungo au kinondoni
Mazingira kidogo ya rami (isiwe uswahilini sana)
Umeme masaa 24 (labda mpaka tanesco wakate)...
Tunahusika na uuzaji wa magari mapya kutoka mataifa mbalimbali. Tunauza kwa bei ya mnada.Bei zetu ni nzuri na nafuu sana.zifuatazo ni baadhi ya picha za magari tuliyo nayo,kwa maelezo zaidi piga/...
Habari wapendwa,
vimebaki vifaa vichache vya stationery, nauza kwa bei nafuu.
1. Epson L3150 (Imetumika miezi mitatu tu, hata wino haujawahi badilishwa na bado wino upo mwingi sana na ina box...
Details with Specifications and pictures are attached-
In addition:500 GB
Reason of selling it:-
Double Gifts and is almost new
Price: Tsh:700,000 Net
Include:-
(Laptop+Power Supplies+ Bonus LTE...
1. Spea ni genuine zimetolewa kwenye gari kama yako iliyotumika Dubai
2. Gari zikizotumika Dubai ambayo tunauza vifaa vyake nyingi watumiaji wake walinunua zero km na ndiyo maana vifaa vyake...
Habarini wandugu,
Naomba mwenye account ya bolt na haitumii aje pm tuongee.
Nina ndugu yangu amepata gari ila mwenyewe amegoma kuibadili plate number hivo haiwezekani kuwa na account.
Hivyo...
IPO IPHONE 14 PRO MAX COPY KWA 170,000 TU,RISITI YAKE IPO NA INA CRACK KWA NYUMA VINGINE VIPO FRESH SANA,INATUMIA ANDROID ,STORAGE 512GB
IPO USED AQUAS 701SH KWA 50,000 TU,RISITI YAKE IPO HAINA...
P. Mashine yangu imeeandika error 000733000 na NImeambiwa kuwa Dc controller imeungua hivyo wenye spare hiyo au duka linalouza tuwasiliane. Maexpert wote karibuni kwa ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.