Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nimelikuta hili tangazo huko mitandaoni. Jamaa yuko fasta sana. Anapima eneo lako iwe kiwanja au Shamba na anakusaidia kupata hatimiliki ya eneo lako. Binafsi nimefaidika na Huduma zake...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
nauza miti ya mikongo kwa bei ya kontena ya 40f kwa mawasiliano na maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba +255763728441
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za leo. Sasa kware wa wiki tatu wanapatikana kama unahitaji tafadhali piga number 0788-318671 bei yake ni Tshs 7,000/ kwa mmoja. Karibu.
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Komputa inauzwa iko Arusha bei ni shilingi 300,000/- specification zake window xp professional Intel (R) Pentium (R) Dual CPU E2140@1.60 GHz 448 of RAM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo kwenu wote...kuna kikundi cha vijana wa bodaboda kipo dodoma mji mdogo wa kibaigwa. Kimesajiliwa na kinatafuta bank, saccoss au microfinanace institution yeyote inayoweza kukopesha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninauza simu tajwa kwa gharama nafuu kabisa.Simu ni nzima na haina tatizo lolote.Bei 100k lakini maelewano yapo. Tuwasiliane kwa 0763969066 ukitaka picha ama kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
962 Views
It is nice Yard of about 21/4 acres or 8782 square meters. Located in a quiet location fully of security. Asking price Tshs 1.4 bilion. Contact 0784225000
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa M-pesa kwa bei ya tshs.150,000/=,maelewano yapo.Naiuza kwa maana nataka kubadilisha biashara.Niko Dar es salaam.Kwa anayehitaji nitafute 0673404808
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani wakuu. Nahitaji kitanda cha sita kwa sita used. na iwe bei nafuu. kama unacho plz nichek 0659530903. niko dsm. makongo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jenereta aina ya olympian na perkins zilizokuwa zinatumika kwenye project iliyokwisha zinauzwa kama ifuatavyo 1.olympian kva 250 masaa 3169 bei 60m 2.olympian kva 200 masaa 3423 bei 55mil...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nauza vifaa vya saloon havina tatizo lolote, vimetumika kwa miezi miwili tu, dryer1, kwa Tsh 120000, kioo 23 kwa23 Tsh 15000, sink Tsh30000. nipo kibaha sababu ya kuuza nimeamishwa kikazi
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Watu wangu kuna sendo za kimasai za kike na za kiume kwa rejareja ni 10000.na jumla za kike 8000 na kiume 8500.
0 Reactions
21 Replies
23K Views
Hello wadau poleni na mihangaiko ya siku. Tafadhali kama upo Shinyanga Mjini naomba unisaidie jinsi ya kupata chumba cha kupangisha au kama kuna mwenye namba ya dalali anisaidie pia kama unaweza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza inveta ya W 1000 ni nzuri na ni ya uhakika umeme ukikatika bei ni nafuu Sana ni laki 300,000 Nina shida ndo mana nauza, maelezo zaidi nichek Kwa 0713415537
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Karibuni wadau nauza viaz mviringo aina ya SP bei pia ni nzuri.... Napatkana mafinga,iringa. Kwa mawasiliano zaidi 0768181757 e-mail; luwumba2013@gmail.com Karibuni sana......
0 Reactions
2 Replies
3K Views
nataka gari tajwa hapo juu, mwenye nayo anipo bei, na specs zake na picha, thn tufanye biashara
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nqtaka psp slim kwa bei isiyozidi 150000
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Samsung Galaxy Trend detailed specifications General Alternate names GT-S7392 Release date September 2013 Form factor Touchscreen Dimensions (mm) 121.50 x 63.10 x 10.85 Weight (g)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Smartphone ya nguvu kwa bei ya mtanzania Wa nguvu kwa bei ya ukweli 135000 tu Sim hii ina uwezo wa kuchukua app zifuatazo -whats app -instagram -Twitter -Facebook -viber -immo -tango...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
habari wanajukwaaa line ya uwakala ya airtel money inauzwaa kwa bei rahisi sana kwa anaehitaji ani pm 130000 fixed
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…