Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau kama kuna mtu yeyote ambaye ana ofisi maeneo ya Mbagala rangi tatu au Kariakoo Aggrey. Awe ni wa hardware namaanisha mimi nahitaji kuwa kitengo cha software (flashing, unlock). Nipo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wadau.. single masterbedroom kinapangishwa ubungo external near mabibo hostel. chumba hicho kipo nyuma ya epza. kipo ndani ya fence na kuna gate pia kuna umeme na maji dawasco...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Used cars 1.ist number b mil 7.7 2.ist number c mil 8.5 3.escudo number a mil 5.5 4.vits number b mil 5.5 5. Swift Call 0713774746
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Model: Toyota Raum Man year: 2004 cc: 1490 odometer: 82,000 Mimi sio dalali gari ni ya ndugu yangu wa karibu sana na iko katika hali nzuri sana.. ukihitaji mchek 0713082305 pia maelewano yapo
0 Reactions
10 Replies
4K Views
plot inauzwa. bei : milioni 150 eneo : karibu na kituo cha afrikana. mwenye kuhitaji ani pm.
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Habari wadau..... Nauza shamba hekari Moja na nusu lina miti ya paini iliyo na miaka mitatu bei ni Tsh=1000,000 tu.... Kwa mawasiliano 0768181757 au utaliijackson@yahoo.com...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji mali tajwa hapo juu wadau brand yoyote ila sio Manji kwa sababu huku niliko bado hawajawa widely available nipo Morogoro Ahsante!.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanya kinauza kigamboni gezaulole, kimepimwa na kina hati. Ni kwa matumizi ya jamii (public use) hivyo unaweza jenga shule, au ukimbi, au biashara yeyote. Ukubwa ni sqm 1240. Bei mil 40
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wewe ni mjasiriamali wa kutengeneza tovuti au blog? Umepanga kutengeneza kwa bei nafuu? Usijali, tunatoa vifurushi kwa ajili yenu kuanzia Tsh. 40000 kwa mwaka. Are you a Student or Web | Blog...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
CLONE SAMSUNG GALAXY GRAND DUOS its in great condition barely used Ipo katika hali nzur kabisa haina tatizo lolote High Perfomance And functionality Double line(inatumia line mbili) 5mp...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Samsung galaxy grand mpya inauzwa kwa bei ya shilingi laki tatu tu... No defects ...no shit... Kwa maelezo zaidi njoo Pm tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
2K Views
a new (bought 4 days ago) Tablet "Discovery by Target" is on sale. 180,000 Tshs only. Just PM your number for whatsup pics & negotiation. Spec: Brand: Target Color: Silver Operating System...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wana jamvi...? Nauza simu tajwa hapo juu bei cheee kabisa.. Ni used kwa miezi kadhaa bt stil in gud condition..... Bei » laki moja na kumi tu! SIFA ZA SIMU ======== Internal...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ailiang speaker 30,000. Ipo Dar mwenge near mama ngoma hospital. Car speaker
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kina ukubwa wa sqm 3800, kipo tambalale kinafaa kwa shughuri kama makazi' ufugaji au yard! Kipo umbali wa 1.4km kutoka barabara kuu inayoenda geza. Upimaji wa awali umefanyika unaonesha ni eneo la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kipo eneo la Cheka ni mwendo wa 25km toka Feri ya Magogoni. Kipo karibu na barabara kuu iendayo Kimbiji. Pia kipo maeneo jirani na hatel ya Changani beach. bei ni Tsh. 12m. kwa mahitaji...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wadau wanaopenda noah na waliokuwa wakiniuliza Noah unaleta lini Basi hiyo hapo ishaingia Dar kutokea Japan. Nauza Toyota Noah 2001 Color: Nyeupe KM: 103014 Location: Tabata Segerea Dar...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Anaehitaji smartphone tajwa hapo juu naiuza kwa bei ya 150000 tu haina tatizo lolote sababu ya kuuza ninamsomesha mdogo wangu wa primary sasa nahitaji niiuze ili iweze kumsaidia na ipo katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Nawatangazia uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa kwa ajili ya makazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kijiji cha Tengelea. Kijiji cha Tengelea kiko umbali wa kilomita 11 kutoka...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…