Hello JF nauza plot mbili ni low density
Eneo ni: Kigamboni, Mwongozo
Kata : Malimbika
Size: square meter 1200
Size in meter: 35x35
Vipo viwili vimefuatana ina maana kama mtu akitaka...
Tina Educational Centre ni watengenezaji wa video za masomo mbalimbali kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita.
Kwa sasa tunahitaji Agents kila Wilaya Tanzania. Kwa sasa tuna DVD (VIDEO) ya...
Haya ndio maelezo kamili na halina udalali. Bei Tsh. 17m
Kwa maelezo Zaidi au ukitaka kuliona liko sinza africasana wasiliana nasi kwa namba +255 712 165 106 na +255 713 345 861 na +255 754 952...
Habarini wadau,, mimi nipo dar nauza nguo za kike nzuri kutoka KAMPALA kama gauni, sketi blauzi, na viatu vya kike ambazo ni slipper or sendo weng tunaita na simpo. Natuma mizgo mkoani kwa...
Window 7
Processor: Intel(R) core (TM) i5 2.27 Ghz
RAM:6 GB
HDD: 500 GB
Type: Dell N Series
With ESET NOD antivirus 1 YEAR LICENCE
In a very good condition
Bei Tshs: 400,000/=
Natafuta sehemu ambayo nitaweza kufanyia biashara ya chakula (mama lishe) na vinywaji baridi.
Eneo liwe sehemu yenye watu wengine kama stendi, vyuoni, mashuleni, nk.
Iwe mkoa wa daressalaam
Habari Wana JF? Ninauza laptop yangu tsh 200,000/= tu. Inafanya kazi, local disk c=48.8GB, Local disk D=62.9GB, Aina yake ni Packard bell, ina virus program(avast free virus) vilevile nauza na...
Wakuu
Nahitaji generator kubwa la kva 10 na kuendelea maximum 20kva....liwe kwenye hali nzuri sana na lisiwe magumashi...
Liwe dar es.salaam....
Weka mawasiliano yako au pm...
First come first served
kwa yule anayehitaji kuandikiwa andiko la mradi ( project poposal), andiko la utafiti (research proposal), mchanganuo wa biashara (Bussiness plan), facilitator (muwezeshaji katika masuala ya...
Simu aina ya Gowin M8 inauzwa kwa sh laki 1 tuu. Ina miezi mitano tangu inunuliwe na haina michubuko na wala haina tatizo lolote. Chek me on 0759960313
Habari wadau,
Natafuta mtu aliyetayari kubadilishana nae gari anipe Rav 4 Manual transmission nimpe freelander 2 manual transmission ya 2004.
Aliye tayari aniwekee namba yake ya simu ya mkononi...
Kiwanja kilichopimwa (heka moja) na kina hati kinanauzwa. Kiwanja kipo 500m kutoka barabara kuu iendayo Dar karibia na eneo lililotengwa kwa ajili ya Ikulu. Kiwanja kimepimwa na kina hati bei...
Mwenye kujua wapi hapa Dar kuna Yard ya Magari ya mitumba ambapo naweza nikapata Carry iwe aina ya Suzuki , Toyota au yoyote ile kwa shillings Million 7.
Naomba tuwasiliane kwa 0754485463 au...