Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

simu ya huawei y300 inauzwa laki na ishirini (120000) ni used line moja internal memory ni 4gb camera nzuri nipm kama unaitaka
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Nauza Sofa set za reather (Brown) ziko katika hali nzuri sana (Excellent condition). Makochi madogo mawili (2) na kubwa la watatu (1). Bei ni laki tano (500,000). Picha zinagoma kudownload...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
HTC one X ni bonge la smartphone ilo apo kwa watu wangu wa nguvu Bei yake 380,000 fixed njoon PM tuongee
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayehitaji Til ya m-pesa kwa maeneo ya Arusha anichek through +255754631403. Jiwekezee kamradi kako faster kukuza mtaji wako kuwa mkubwa.
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Nyumba mpya inapangishwa, ina vyumba vitatu, parking kubwa na uzio. Nyumba ni self contained( chumba kimoja ni master) , jiko, stoo, sebule, choo na bafu vya kujitegemea. Nyumba ipo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anayehitaji Til ya uwakala ya M-pesa tafadhali. Naiuza kwa kuwa nahitaji kuzipunguza nibaki na chache kwa ufanisi zaidi. Kwa anayehitaji anipm kwa mawasiliano zaidi, niko Arusha hapa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Luxury modern apartment to let in Masaki situated in prime area close to shopping malls eg. Seacliff and Shoppers Plaza. The apartment have a large lounge, modern fitted kitchen and 3 bedrooms...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Imetumika miezi minne tu warranty ipo. Haina tatizo lolote ni kama mpya. Bei 750000 pm for your number I send you photos in watsapp
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Wanajamii, Nauza Iphone 6, nimepata dharura hivyo nnahitaji hela (Nimeinunua ila nimepata dharura, I need Money). Bei ya kuuza 1.6milion, Niko Dar. Kwa mawasiliano piga 0717633724.. Tafadhali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za majukumu waungwana, Nimekuwa nikitafuta hii bidhaa kwa muda mrefu ila sijawahi kukutana nayo. Katika pita pita zangu na hii picha mi niliipata baada ya kugoogle bidhaa yenyewe ni meza...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza shamba lipo kimbimji maeneo ya kijaka.kama km 3 hvi kutoka kwenye kiwanda kipya cha cement,shamba linaukubwa wa ekari 32,linafaha kwa kuweka bwawa la kufugia samaki,kilimo,ama unaweza pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari. Nauza jiko ambalo nilikua nalitumia mimi mwenyewe la umeme. - Germany made, brand ya Ignis - Lina sehemu nne za kupikia (4 plates) - Linafanya kazi vizuri na halina shida yoyote -...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari. Nauza jiko ambalo nilikua nalitumia mimi mwenyewe la umeme. - Germany made, brand ya Ignis - Lina sehemu nne za kupikia (4 plates) - Linafanya kazi vizuri na halina shida yoyote -...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
wakuu, Inahitajika nyumba, vyumba viwili vya kulala (kimoja master), sebule na jiko pamoja na parking. Pia kinahitajika chumba self contained. Eneo ni Changanyikeni, nyuma ya chuo kikuu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
An industrial plot with 36405 Sqm located in Tanita Kibaha, Costal region facing Morogoro road. The plot is fully surrounded with a cement wall and a Dawasco connection. The plot is for sell by...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inauzwa: imetembea km 174,612.,1290cc,rangi nyeusi,tairi zote mpya,valid motor vehicle na Bima,automatic,usajiri Wa B,gari ipo ktk hali nzuri,haijawahi pata ajali,pm kwa maongezi,gari ipo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
ninauza suzuki escudo black ya milango mitano. Gari bado iko kwenye hali nzur kabisa na haina historia yoyote ya ajali. Matairi bado ni mapya kabisa na ina vibali vyote.Wala engine haijawahi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
petrol station mpya inauzwa iko njombe ina ukubwa wa sq.meter 3200 ina pump 5nia tenki 5 bei maelewano 0652766510 na zipo nyengine dar
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu hembu mnijuze maeneo bora kujenga kwa plan hii ya nyumba Ngorofa ya vyumba vinne with Home Office -Swimming pool -Tennis Court/ambayo itakuwa converted to Basket ball -Volleyball...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, tunatoa huduma ya kufunga Vehicle GPS Tracker kwa bei poa sana ambapo kupitia simu yako ya mkononi au Laptop yako unaweza kupata taarifa za gari yako popote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…