Nyumba ya Kisasa Inauzwa

Nyumba ya Kisasa Inauzwa

Aleyn

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
23,843
Reaction score
42,009
Habari!!!??
Nyumba ina vyumba 4 kimoja ni master. Ina vyoo viwili. Pia ina Study Room ambayo haijakarabatiwa kwa ndani. Vile vile kuna stoo moja.
Kuna Sitting Room, Dining na Jiko pia.
Kuna kisima vile vile, pia na Garage ambayo unaweza ukapark gari moja kama picha inavyoeleza hapo juu.
Nyumba ipo Kigamboni, hatua chache kutoka ilipo ferry.
Bei ni 190,000,000. Unaweza ukaweka namba yako nikakutafuta kama umeipenda.
Ahsante!!!
 

Attachments

  • 1428043813236.jpg
    1428043813236.jpg
    105.5 KB · Views: 629
  • 1428043993598.jpg
    1428043993598.jpg
    123.5 KB · Views: 582
Nivizuri kama utelezea sehemu jengo hilo lilipo na mazingara ya wakati wa mvua maana mapango ie jengo sio baya......fenceing ect....not exicting.....
 
kiwanja ilipojengwa kina hati , kama kina hati ni pm
 
Nivizuri kama utelezea sehemu jengo hilo lilipo na mazingara ya wakati wa mvua maana mapango ie jengo sio baya......fenceing ect....not exicting.....

Yah, Fensi haipo na nyumbo ipo ktk sehemu nzuri sana, hakuna mvua inayoweza kuiathiri endapo ikanyesha.
 
Kwa hiyo bei nakuhakikishia huwezi pata mteja. Hiyo nyumba maximum 60M
 
Kwa hiyo bei nakuhakikishia huwezi pata mteja. Hiyo nyumba maximum 60M

Hahahaa, inategemea na sehemu ilipo, kuna sehem zingine hiyo nyumba unayoiona unaweza kuuza hata zaidi ya nusu bilioni!
 
Kwa hiyo bei nakuhakikishia huwezi pata mteja. Hiyo nyumba maximum 60M
nashkuru kwa mawazo yako mkuu, labda ungefika na kuona mahali nyumba ilipo.
ukifika zunguka na kuulizia bei ya kiwanja kimoja ni sh.ngapi?
PIa unaruhusiwa kukagua nyumba kuangalia material iliyojengewa.
Ushauri wangu, uulize vitu kisha ndo utoe mawazo yako.
 
Nashauri utoe size / ukubwa wa kiwanja ambapo hii nyumba imejengwa mfano 40m X 40m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom