Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba angalau iwe chumba na sebule, jiko na choo cha kujitegemea, maji na luku ikijitegemea itakua njema zaidi, maeneo ya Magomeni, Sinza, Mwenge au Kimara mwisho, Baruti tokea Ubungo, sina mda...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Kwa wale mnaoishi Shinyanga Mjini, nauza kwa bei ya kutupa Kiwanja ( high density) kwa 1.7 million, kimepimwa tayari, maji umeme vipo, kipo eneo la Bushushu. Anayeitaji tu wasiliane kwa PM.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ghala la kuhifadhia vitu linahitajika haraka Arusha sehemu yoyote Tuwasiliane haraka kwa pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Nauza Suzuki carry bei 6.0M. Ipo kwenye condition nzuri. Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015. Kama unahitaji please PM.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
.
0 Reactions
3 Replies
799 Views
Kwa mwenyewe external drive iwe empty anichek tufanye business now. Thanks
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama ww ni mwalimu mpya umepangiwa wilaya ya Kibondo. Kuna nyumba inapangishwa kibindo mjini karibu na stendi mpya. Nyumba ni mpya ina maji na umeme na haina mpangaji. Nyumba ina jumla ya vyumba 4...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Guys naomba ushauri wa simu gani kali ya kununua bajeti yangu ni laki 2 mpaka 2 na nusu. Natanguliza shukurani
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf. Natafuta frame ya zaidi ya dimensions za 20x11 maeneo ya ubungo. Lengo ni kufungua mgahawa wa kuuza chakula na frame iwe kubwa kiasi cha kupata mahali pa kubwa pa kupikia na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nauza simu aina ya Sony Z3 ya India Bei ni 350,000/= tuu karibuni nipo dar
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Eneo linauzwa CHANIKA.Lina vipande nane vya ukubwa wa 20*20.Kipande kimoja kinauza shilingi Milioni Tatu na Laki Mbili tu.Maelewano yapo.Ni kuzuri.Barabara,maji na umeme vipo karibu.Makazi...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Tafadhali mwenye kutengeneza sticker za kwenye mabango kwa bei poa. Naomba tuwasiliane
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kodak ESP.3 Ni used, imeisha wino na ina-paper jam problem. Inafaa kwa kutengenezwa na kununulia Cartridge zake/ku-refill wino au kutumika kama spea kwa wahitaji. Inakuja na Cartrage zake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vifaa kwa ajili ya kutoa huduma ya Secretarial Vinauzwa – Used. Mdau mwana JF; vifaa kwa ajili ya kuendesha biashara ya Secretarial vinauzwa kwa bei nzuri sana. Hii ndiyo list ya vifaa hivyo:-...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Tunatoa mafunzo ya computer Kama ACCOUNTING (sage,Tally,quickbook)NETWORKING, WEB DESIGNING ,GRAPHIC DESIGNING ,VIDEO EDITING kwa bei poa tunapatikana Karibu na Temeke Hospital .karibu
0 Reactions
0 Replies
721 Views
wakuu kwemaaa nipo moshi nahitaji gari ndogo yakutembelea nikifanikiwa kupata gari aina ya ALLEX ama CARINA TI nitafurai zaidi asanteni 0767353440
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tufanye business new power bank 10600 Mah for 60000 /= tsh am in Dar..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kilichopimwa na title deed yake chenye zaidi ya eka mbili kinauzwa. Plot ipo Iwambi, Mbeya. Eneo linafaa kwa godwn, apartment, hostel nk. kwa mawasiliano piga no 0754895153
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Simu ipo sokoni na ipo vizuri, huawei y210 iko sokoni 0674162085
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Moja ya simu tajwa inahitajika. nipo moro offer yngu ni 80,000/-
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…