mkulimasana1
Member
- Dec 29, 2014
- 43
- 13
Eneo linauzwa CHANIKA.Lina vipande nane vya ukubwa wa 20*20.Kipande kimoja kinauza shilingi Milioni Tatu na Laki Mbili tu.Maelewano yapo.Ni kuzuri.Barabara,maji na umeme vipo karibu.Makazi yameanza kujengwa.Ni kuzuri sana makazi,biashara,ufugaji,shule,hospitali,hosteli,nyumba za ibada nk.MAWASILIANO:0768069996 na 0719786521