rilprogrammer
Member
- Jun 5, 2011
- 94
- 19
Nyumba angalau iwe chumba na sebule, jiko na choo cha kujitegemea, maji na luku ikijitegemea itakua njema zaidi, maeneo ya Magomeni, Sinza, Mwenge au Kimara mwisho, Baruti tokea Ubungo, sina mda wa kuzunguka kwahiyo dalali au mwenye nyumba inayokidhi mahitaji hayo ani pm, tutapeana taarifa zaidi ikiwemo kunitumia picha.
Asanteni sana
Thread closed....
Asanteni sana
Thread closed....