Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nakupa blackberry torch 9800 used haina tatzo lolote kabisa pamoja na tecno M3 imetumika kwa mwez mmoja na nusu,ina kila kitu chake mpaka waranty yake. Wewe utanipa simu gani moja isiyo na tatizo...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Kwa alie na laptop na Anauza anicheki 0654715457 bajeti 235000k nipo dar.
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Habar, npo Dar mitaa ya Upanga nahitaji korosho zilizobanguliwa na tayari kwa kuliwa. Je naweza kupata kwa bei nafuu?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Simu tajwa ni used ila ipo katika hali nzuri inauzwa kwa 300000.piainawezaa kama inawezekana tunaweza kubadilishana na simu nyingine(s4 preferred) kisha utaongezwa mpunga. Kwa walio interested...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Simu ya samsung note 4 orijino inauzwa kwa Tsh 850,000
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Habarini wakuu,, Natafuta nyumba ya kupangisha nzuri, vyumba viwili au vitatu na sebule, self, iwe na geti. Ikiwa maeneo Tabata, kurasini, makumbusho au Ubungo ni vizuri japo ikiwa maeneo mengine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mbweni, nyuma ya shule ya Bakili Muluzi. Kina ukubwa wa sqmt 1100 kimepimwa na kina Hati. Bei ni Tsh 45 Millioni (haishuki) Contact 0712859537 Dalali hatakiwi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo Kigamboni eneo la SUMANGILA mwanzo mugumu Dar es salaam. Kina hati na ukubwa wa eneo sqm 1500.Ni mwendo wa 28km toka feri ya Magogoni , bei ni 22m Tuwasiliane 0657145555.
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Aina:Dell laptop HDD:500GB Ram:4GB Processor:2.3GHz Wifi and bluetooth connectivity 3USB Port Betry life:one hour Price:480,000/= Inapatikana Dar es salaam Mikocheni Kwa...
0 Reactions
3 Replies
870 Views
nyumba inapangishwa arusha eneo kibanda maziwa. Nyumba ina chumba kimoja cha kulala sebule na choo ndani ziko 3 kwenye compound moja. Ziko karibu na barabara kuu ya nairobi. Ina geti maji na...
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Nimenunua wiki iliyopita lakini nimepata simu nyingne kwahyo nimeamua kuiuza kama utapenda nicheki 0688206680 nipo dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji Sony Xperia Z2 mpya.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
mprojector mpya kutoka uk inauzwa kwa wanaohitaji wanicheki whatsaap 0715426668 kwa biashara zaidi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, nahitaji simu nzuri ambayo iko katika hari nzuri na pay yangu ni hiyo hapo kama utaridhika,usisite kuni pm.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wadau nimedunduliza vijisent vyangu sasa vimefikia milion 7. nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mihangaiko yangu ya mjini. Je naweza kupata gari lolote dogo kwenye Yard za dar kwa pesa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naitwa Neema Bundala(Shilo) nipo arusha namtafuta baba yangu anaitwa AGUSTINO MASOKOLA BUNDALA. Alikuwa anaishi tengeru Arusha miaka hiyo 1995.Aliniacha nikiwa mdogo sina hata picha yakujua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwezi mmoja tu imetumika nauza couse naenda shule. Picha ni info 0716628257
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kichwa cha habari kinajieleza....bado ni mpya....bei ni 550k....bei sio katiba...njoo tufanye biashara...kwa maelezo zaidi nicheki kwa 0713 190 118
0 Reactions
3 Replies
800 Views
size; 40" model; LED40HD15X3D 2hdmi pot 2usb pot input and output cable 2 3D Glasses price: 1,100,000/-
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…