Bei nafuu kama vipi na kiasi gani
Nikushauri.....hapo kibaha mpaka chalinze kuna vikundi wanabanguwa korosho...watembelee uone na mutaelewana pia maeneo ya mkuranga mbele ya mbagala kidogo
Habar, npo Dar mitaa ya Upanga nahitaji korosho zilizobanguliwa na tayari kwa kuliwa. Je naweza kupata kwa bei nafuu?
Grade 1). 20,000 per Kg
Grade 2). 15,000 per Kg
Ohh Ahsante hzo bei ni za Dar au?