Tunauza na kununua magari used, pia vifaa vya electronics, nyumba na viwanja.
Pia tunatoa ushauri wa biashara, kodi pamoja na kuandika business plans and project proposal.
Hotlines 0787074898...
Pikipiki aina ya King Lion yenye miezi tisa inauzwa. Ipo katika hali nzuri na haijawahi kupata matengenezo makubwa. Inatembea na kufanya kazi zote na inafanya kazi za Bodaboda.
Mwenye kuhitaji...
SIMU tajwa hapo juu ni almost mpya nimeitumia kwa wiki 2 nauza shiling laki Tatu tu kwa maelezo zaidi unaweza kunicheck kwa 0686274501 najaribu kutuma picha naona zinazingua I will try again later
Natafuta nyumba ya kupanga eneo la nyakanazi yenye sifa zifuatazo: iwe na vyumba 3, iwe na choo na bafu, iwe imepigwa lipu na sakafu.
Kwa mawasiliano piga 0765354360 au 0688354360
Tunawatangazia mkutano mkubwa wa injili katika kanisa la FPCT Nyakanazi utakaoanza 15.07.2015 hadi 19.07.2015.mwinjilisti machachari, wa kimataifa, Mch. ERASTO NDEBEREHO atahudumu. Kwaya...
Gari tajwa hapo juu nahitajika iwe number dd..au haijawahi tumika Bongo. Iwe truck, cc isizidi 1500, mwaka kuanzia 1990, bajeti milion 8. kama unayo nicheki 0763364459
Asanteni
Nyumba ina partition 2 lakini upande mwingine haijamalizika kwa ujenzi but kila partition ina vyumba 3 1 master na jiko yote kwa pamoja nyumba inauzwa mil 70.
Kama upo serious nichek 0716385824
Je, wewe ni mfugaji wa kuku na unatafuta soko la kuuzia kuku wako? au wewe unahitaji kupata kuku wa kienyeji?
Kama jibu ni ndio. Weka namba zako za simu huku nikuunganishe na soko la kuku wa...
Nauza iphone 4 ina crack kidogo karibia na home button ipo safi kabisa haina tatizo lolote na pia ipo unlocked(haijafungwa) price 200,000
Kama upo serious nichek 0716385824
habari ndugu,
Nauza website ya habari na matangazo ya kazi ,ni website nzuri sana na pia tunaweza kuibadilisha kukidhi maitaji yako. Pia hii website ni mult-site maana yake unaweza kutengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.