Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau wa ujenzi wanaojenga Kinyerezi na maeneo jirani na wanaopendelea mabati yenye migongo mipana nawaarifu kuwa mimi nilinunua mabati lakini hesabu niliyopewa na fundi ikasababisha mabati yazidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji kiwanja maeneo ya Bomang'ombe Moshi kama kuna mtu anauza anijuze tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza CD tajwa hapo juu ni DVD zenye ukubwa wa 4.7 GB Zipo 3000 zote naziuza kwa 1m 0714547830 whatsap 0652871546 SMS and call
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Tunatengeneza Dreids na Natural hair twist,popote ulipo tunakufata piga simu namba 0689494232kujua bei na kufanya appointment, Tupo Dsm mikoani pia tunaenda.
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Nauza cm tajwa hapo juu sg 5301 Nipo mbezi mwisho dsm Contact 0758293598
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta wateja wa kununua copper wire kwa kupima kilo pamoja na kuuza kwa mita nipo geita
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ardhi tupu ekari 1000 zinauzwa @140000/= Zipo wilayani Mufindi umbali WA kilomita 70 kutoka Mafinga mjini. Pia ardhi ekari 30 zenye miti aina ya pine zinauzwa( miti INA umri WA miaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa, Mimi natengeneza tshrt zenye logo mbalimbali natafta wenye maduka ya nguo na bidhaa za urembo kutoka mikoa tofaut ili nifanye nao kazi.Kwa watakaopenda kufanya biashara na mimi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Epuka sana njia na vipodozi visivyo salama na vilivyopigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania (TFDA) maana vitakuletea matatizo mbali mbali ya afya kama vile kansa, allergy, ngozi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka 8 linauzwa being Cher. Mawasilianoi zaid 0773211553
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maelezo: Eneo liko umbali wa kilomita 40 kutoka Kigamboni. Eneo ni zuri: tambarare,pana rutuba,pana maji yasiyo na chumvi.Panafaa kwa makazi, ufugaji na kilimo. Panafikika kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maeneo ambayo ni karibu kufika Lugalo. Asante.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana JF, Natafuta vioo vigumu (tempered glass) kwa ajili ya kutenenezea shelfu mbali mbali. Picha za mfano wa vioo hivyo ni hizi hapa chni. Anayefahamu wapi nitapata vioo hivi anijuze. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
S.T CONSTRUCTION ni kikundi cha vijana katika taaluma ya ujenzi kutoka Dar Institute Of Technology,ni vijana tulioamua kujiajiri baada ya kumaliza masomo yetu, kikundi kimesajiliwa na CRB kama...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye utaalam wowote tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mitsubishi canter TSH 35,000,000/= used abroad - imported price include tax and registration specs Engine capacity - 5200cc transimisson - manual 4wheel drive injection-gasoline/petroleum...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Guys habari za wakati huu Nataka kununua hii pikipiki tajwa hapo kutoka kwa mtu Nahitaji ushauri kwa maana ya kwamba ni vitu gani vya kuzingati katika mchakato mzima wa manunuzi Lakini pia...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Gari tajwa hapo inahitajika bajeti yangu ni tsh 6 ni pm
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Yeyote anayeuza simu tuwasiliane isizidi 200,000/= na siyo zile za kichina,
0 Reactions
21 Replies
4K Views
unataka?
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…