Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo mabibo jeshini huku Simu iwe nzima kabisaaaaaa na iwe angalau na sifa hizi Cpu 1.0ghz Ram 1gb Internal angalau ianze 4gb Camera 8mp Screen 5inh Karibuni 0657445777 whatsap na sms
0 Reactions
1 Replies
847 Views
Kichwa cha uzi cha husika. Nina laki moja.
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Kwa maitaji ya viwanja vya makazi biashara kwa maeneo yafuataya vinapatikana! #Kigamboni-dege , mwanzo mgumu, Kimbiji #mkuranga mjini, mwandege #Kibaha Kwa mawasiliano zaidi 0784 45...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shamba la heka 29 ambalo baadhi ya sehemu yake imepandwa miti 2300 ya mbao ambayo kwa sasa imemalza miaka 3 toka ipandwe linauzwa kwa sh million 40 jumla na miti yake. Shamba hilo linapatikana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta chumba self contained au nyumba 2 bedrooms au 3 bedrooms eneo la Survey au Rufungira. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Everyone whants an extra income. Financial freedom. Travelling to different places outside Tanzania. Lets talk about business project contact us 0654504794 (0683960762 whatsapp). Thank you!
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Kwa wale wanaowahi kufika kituoni mapema, sasa waweza rudisha heshima yako kwa kutumia dawa tajwa hapo juu kwa sh.4000 tu, Unaweza kuwasiliana nami kwa 0672110065.
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Mwenye nayo anipm anitajie how much
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kiwanja kipo Kibaha Miembe Saba karibu na shule ya secondary ya Miembe Saba. Kwa mawasiliano zaidi 0672110065.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza mabati yafuatayo kwa bei nafuu
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habar wadau nina mil 7.5, natafuta gari aina ya toyota IST mwenye nalo na analiuza naomba tuwasiliane kwa namba 0718267085. Gari iwe kwenye condition nzuri na namba iwe kuanzia C, rangi nyeusi...
0 Reactions
1 Replies
990 Views
Jamani mwenye Suzuki carry anikodishe kwa mwezi nipo Mbeya.
0 Reactions
31 Replies
5K Views
nahitaj stationary equipments kama daftar, pen, counter book nk wapi zinauzwa kwa bei ya jumla
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Eneo ni zuri sana kuna lami mpk site, maji na umeme. Bei ni 50,000 /=Kwa squre mita na viwanja mbele kabisa vinavyoangalia barabara kubwa Ya lami ni 70,000/=
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Plot Ipo Kibada, Kigamboni. Shule na hospitali zinatarajia kiwa karibu. Ni umbali wa kama mita mia tano hivi kutoka barabara ya lami. Bei 18.8M Hati ya Plot ipo kwa jina langu na haina shida Plot...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Wazee naomba msaada kujulishwa stores zinapouzwa brand new Generators aina ya Honda ya capacity hiyo na bei yake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo sehemu nzuri maeneo Ya Boko CCM kuna ukubwa wa sqm 920 (46x20), kinafaa kwa makazi! Bei 120 milioni (maongezi yapo) Email kwa maelezo zaidi: richie_massive@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeamka asbh nakuta hii player haiwaki tena, nahisi radi ilopiga usiku imeleta shida kwa hii player. Cha kushangaza socket ni moja but tv, radio na wireless speaker ziko okay Model yake ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niaje wataalamu. Kama mtu anauelewa kuhusu tank la kluger v linajaza lita ngapi? na cc zake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau,nafanya residential electrical installation(naweka umeme wa majumbani).Yeyote anaehitaji kuwekewa umeme nyumbani kwake iwe ni wa TANESCO ama solar power ktk nyumba yake au ktk pump za...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Back
Top Bottom