Nyumba inauzwa M/nyamala

Nyumba inauzwa M/nyamala

Llio 002

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
1,639
Reaction score
2,078
Wana jf, kichwa cha habari hapo juu cha husika nyumba ipo mwananyamala kwa kopa ipo barabarani kabisa bei yake inauzwa million themanini ( 80000000 ) kwa mteja aliye tayari karibu tufanye biashara piga simu namba 0655541948

Natanguliza shukrani zangu kwenu
 
Wana jf, kichwa cha habari hapo juu cha husika nyumba ipo mwananyamala kwa kopa ipo barabarani kabisa bei yake inauzwa million themanini ( 80000000 ) kwa mteja aliye tayari karibu tufanye biashara piga simu namba 0655541948

Natanguliza shukrani zangu kwenu
Weka Picha!!
 
Ina hati? eneo Lina ukubwa gani? Je kuna parking ya Magari mangapi? kuna Maji ya Bomba? kuna bustani? funguka uelewekr
 
Ina hati? eneo Lina ukubwa gani? Je kuna parking ya Magari mangapi? kuna Maji ya Bomba? kuna bustani? funguka uelewekr

Mkuu hati ipo, parking ipo ila sijajuwa ni ya magar mangapi maji ya bomba yapo ila bustani hakuna...karibu mkuu tufanye biashara
 
Nauza Viwanja Vipo Nzega -kashishi, Unakatiwa Ukubwa Kutegemea Na Hela Yako, Vipo Vya Kuanzia Laki Sita Na Kuendelea, Vipo Barabarani, Wahi Vimebaki Viwili Vya Barabarani Vya Kujenga Nyumba Na Kuweka Flem Za Maduka.HAKUNA DALALI, MIMI NDIYE MMILIKI, SM 0755570231
 
Uza haraka maana tingatinga limeshafanya yake na soon siment na nondo vitashuka bei.
 
Nauza Plot Kigamboni
Plot Ipo Kibada, Kigamboni. Shule na hospitali zinatarajia kiwa karibu. Ni umbali wa kama mita mia tano hivi kutoka barabara ya lami.

Bei 18.8M
Hati ya Plot ipo kwa jina langu na haina shida
Plot ipo Kibada, Block 9
Ukubwa wa plot ni 500 square meter

Contact: 0785 872 256​



 
Karibuni jamani mjengo bado upo unasubiri mteja
 
Nauza Viwanja Vipo Nzega -kashishi, Unakatiwa Ukubwa Kutegemea Na Hela Yako, Vipo Vya Kuanzia Laki Sita Na Kuendelea, Vipo Barabarani, Wahi Vimebaki Viwili Vya Barabarani Vya Kujenga Nyumba Na Kuweka Flem Za Maduka.HAKUNA DALALI, MIMI NDIYE MMILIKI, SM 0755570231

Mzenga iko wapi???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom