Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza vitabu vifuatavyo vya kidato cha kwanza: The Real English( Kadeghe Michael), Geography Course Book for Secondary schools Book One( Tanzania Institute of Education), Kiswahili - Shule za...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Natafuta Dada wa kutusaidia kazi za nyumbani hapa Mlandizi, Kibaha. Kwa maelezo zaidi, Piga au Tuma sms: 0719500908
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wadau...ninatafuta Mfanyakazi wa Shamba la Mifugo.Lamsingi awe na elimu ya Mifugo hata certificate pia na uzoefu hasa wa kuku na magonjwa yao na Nguruwe pia.Ntashukuru kama kuna mtu anajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Goba kinzudi kwa mtenga 30m x 35m kipo vizuri kinafikika wakati wote bei M17 maongezi yapo wasiliana 0715210298 kwa anayehitaji
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Nyumba inauzwa tabata haijakamilika yote ila imefika kwenye rinter,ina vyumba vitatu,sitting room,dinning,room,choo na bafu vya nje na vya ndani<vyoo vya nje vimekamilika>ina fremu moja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaj earphones za samsung galaxy s4 zenye mziki mzuri, weka bei na mawasiliano yako jion njema
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Tunatoa huduma zifuatazo; - Tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita - kufundisha QT na wanafunzi wanaorudia mitihani - kufundisha wanafunzi wanaojiandaa kuingia kidato cha tano...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Plot for sale/kiwanja kinauzwaa kipo goba wilaya ya kinondoni dar es salaam kipo karibu kabisa na barabara kuu inayounganisha mbezi ya kmara na mbezi beach kina ukubwa wa METERS 20*30 bei ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Vitu tajwa hapo juu vinapatikana. Brand ya touchmate na ni vipya kabisa ndani ya box. 0715490570 Pasi ya blue 27,000 Pasi nyekundu (ceramic) 36,000 Deep fryer...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Simu imeuzwa. Ahsanteni.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Shamba linauzwa chanika mwanzomgumu lina ukubwa Wa ekari tano,bei ya kila ekari ni Tsh 2,500,000 maelewano pia yapo,na pia gari inafika mpaka shambani 0714621548.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kamera ya samsung megapixel 16,zoom 10+ inauzwa. Mwenye kuitaka ajitokeze.NIKO LINDI WILAYA YA LIWALE
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nauza Hp Pavilion 15 Window 8 Ram gb 4 Processor 1.5 Quad core Harddisk gb 500 Dvd Colour: Black Vodacom modem included. Bei Tsh 600,000. Negotiations ipo Nicheck kwa namba hii 0654 99 48 99...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Nahuza machine Kubwa ya kunyonyolea kuku, nafuu zaidi. Wateja wa mwanzo wanabahati zaidi. 0714363793
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aina ni acer aspire 4250 Storage-320 gb Processor - amd e-350,1.60ghz Ram-2gb Bei 500000/ Kwa mawasiliano zaidi 0715591141
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sasa udongo wetu Aunt Zainab's Natural Super Clay unapatikana Mwanza. Huu udongo ni 100% wa asili, haujaongezwa chochote na moja ya matumizi ni kama liwa lakini una ubora zaidi ya liwa. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Goba Kinzudi kipo katika hali nzuri kinafikika wakati wote ukubwa ni 30m x 35m bei ni M17. Maongezi yapo wasiliana na 0715210298 kwa anayehitaji.
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…