Kiwanja kinauzwa Dar es salaam

Kiwanja kinauzwa Dar es salaam

HeisenbergJr

Member
Joined
Aug 17, 2015
Posts
38
Reaction score
13
Plot for sale/kiwanja kinauzwaa
kipo goba wilaya ya kinondoni dar es salaam
kipo karibu kabisa na barabara kuu inayounganisha mbezi ya kmara na mbezi beach
kina ukubwa wa METERS 20*30
bei ni million 25 tshs (negotiable/makubaliano yapo)
we need serious buyers only
mawasiliano 0712552483
 

Attachments

  • Kiwanja.jpg
    Kiwanja.jpg
    71.8 KB · Views: 354
Hatua za hashim thabit au joti? Hivi bado mna uswahili wa kuuza viwanja kwa dimensions za hatua za miguu? Yaani kwa akili zako huwezi kupata vipimo vinavyoeleweka ? Pumbavvvvvvvv
 
Hatua za hashim thabit au joti? Hivi bado mna uswahili wa kuuza viwanja kwa dimensions za hatua za miguu? Yaani kwa akili zako huwezi kupata vipimo vinavyoeleweka ? Pumbavvvvvvvv
khee makubwa
 
GPS zitumike kuto vipimo vya kiwanja chako, hizo hatua haipo kwenye vipimo sahahi
 
Hatua za hashim thabit au joti? Hivi bado mna uswahili wa kuuza viwanja kwa dimensions za hatua za miguu? Yaani kwa akili zako huwezi kupata vipimo vinavyoeleweka ? Pumbavvvvvvvv

Samahani mkuu Nakushauri uende ukakione na ukapime mwenyewe ili kujihakikishia!!


BANGO
 
Hahahahaha hivi unafikiri bei hizo bado zipo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom