Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

VIWANJA VINAUZWA GOBA KANTINA (MAKONGO ROAD) Viwanja vipo mita 30 tuu kutoka barabara ya Lami ya Makongo. Viwanja vipo tambarare kabisa. Dakika 2 tuu kutoka site mpaka Goba Centre. Dakika 15 tu...
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Hii inaitwa panda kwenye gari na sio ingia kwenye gari. Mazda CX-5 Year 2013 Fuel Diesel CC 2180 Km 80k Price milion 27.5
3 Reactions
10 Replies
1K Views
TAWA WATER PROFFESIONAL Ni kampuni ya uchimbaji wa visima. Tunachimba visima Mashambani pamoja na kuchimba visima majumbani kwa matumizi binafsi. Pia tunafanya utafiti wa upatikanaji wa maji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapi napata apartment za bei rais tanga zenye kila kitu. Natakaa kukaa kwa wiki moja! Kwenu watanga.
0 Reactions
8 Replies
639 Views
Naenda kwenye point moja kwa moja. Jamani kama wewe ni mtu mwenye kupendelea kupendeza nyakati zote basi huna budi kumfikia huyu jamaa Location ni Mbezi beach Afrikana pia popote ulipo kwa Dar...
2 Reactions
0 Replies
363 Views
Lete Computer yako mbovu tukutengenezee! Tunafanya Services aina zote za Computers Tunauza Spares & Accessories za Computer aina zote Tupo Ilala Dsm 0718290779
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Mikataba katika masuala ya ardhi na majengo ni nguzo muhimu ya kulinda maslahi yako na kuepuka migogoro ya baadaye. Kwa kuwa ardhi na majengo ni mali za thamani kubwa, bila mkataba ulio wazi na...
1 Reactions
0 Replies
473 Views
Shamba Heka Mbili Na Nusu Limeshuka Bei Kutoka Million 10 Mpaka Milioni 8 tu Lipo Kibaha Madafu Mmiliki anachangamoto ya mgonjwa Mwenye Uhitaji Wa Shamba Aje Chap Tuongee Biashara, Shamba Liko...
1 Reactions
0 Replies
541 Views
Wakuu wote habar zenu... Nauliza kama naweza kupata gari tajwa Kwa bei hiyo. iwe namba D Kama kuna atakayekwazika natanguliz samahani. Naleta Kwa hatua yenu.
4 Reactions
18 Replies
989 Views
Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda 0774150519
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kiwanja kimefanyiwa survey mnunuzi utaenda kuandikisha hati kwa jina lako. Whatsapp 0656388678
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Mtu asiyetaka kuagiza gari kununua nje anataka kununua tu hapa nchini. Yadi ipi inayouza magari mazuri waaminifu Tanzania na Zanizibar na inachukua muda gani ukilipa kuchukua gari yako
6 Reactions
57 Replies
3K Views
• Direction: Kibada, 3 min on foot from Chekechea daladala stop • Facilities: 3 bedrooms, 2 bathrooms, servant quarter • Plot Area: 1,000+ sqm • Document: Title deed • Price: TSH 250 million •...
3 Reactions
5 Replies
565 Views
Wazee naomba msaada nahitaji gari nzuri 4 wheel drive tunataka kukodi Tarehe 17 mwezi huu kutoka Dar mpaka sumbawanga na kurudi. Safari itakua ina vituo mbalimbali kama Morogoro, Mikumi, Mbeya...
3 Reactions
12 Replies
611 Views
Hello good morning guys Leo tuna huduma zifuatazo;- 1. Heslb Loan application 2. Tin no application 3. Ajira portal(ajira za ualimu) 4. Birth and death certificate 5 .University application...
0 Reactions
5 Replies
487 Views
Kipo Kibaha kwa Mathias Msangani karibia na zahanati ya Msangani. Kina ukubwa mita 30 Kwa mita 20. Bei milioni 3. Miundo mbinu iko vizuri. Barabara ya lami, bajaji 1000, boda 1500.
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Napenda Kuchukua Nafasi Hii Kuwakaribisha Wote Katika BBQ yetu hapa Chicago, IL ambayo itafanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 26/7/2008 na kufuatiwa na Party usiku wake. Angalia Flyer kupitia hiyo...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Wadau kuna mwenzetu ana asali mbichi lt 240 anataka soko na hajui auze wapi na lt 1 auze kiasi gani?
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Mnauza skanka nzuri kutoka south africa kwa bei nafuu ya 4000 kwa gram pia local weeds au kushi nazo zinapatikana pia kwa mawasiliano nichek 0765440521 nipo dar napatikana muda wowote
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Back
Top Bottom