Kina ukubwa wa meter 45 kwa 28... Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na barabara. Kina kuta pande 3 tayari. Bei 22 million.
Serious buyer: 0784 966 977
Salama wakuu;
Ninauza kiwanja/shamba. Ukubwa ni SQM 400 Eneo kilipo ni Bunju B, Bei ni 4M. Kiwanja kipo sehemu nzuri, maji yapo, umeme nao tayari umeshafika eneo husika. Kwa anayehitaji...
Wadau,
Nahitaji matofali ya Kuchoma (Sio Inter-locking) kwa ajili ya kujengea mabanda ya mifugo maeneo ya Mbutu-Kigamboni. Matofali haya ni yale yanayopatikana kwa kuchomwa tofali la udongo na...
Wadau kwa anayehitaji shamba kwa ajili ya kulima nakodisha.Msimu ushafika kwa wilaya ya Handeni tunaanza kulima mwezi ujao.
Iko kuanzia heka 1 mpaka 10 au ukitaka zaidi, liko sehemu moja. kwa...
Natafuta nyumba ya kupanga, Maeneo - Kijitonyama, Kurasini, Mbezi Beach, Tankibovu, Mikocheni, na Msasani
Sifa,
Chumba - 1 au 2, Sebule, Parking
Bajeti - Laki 2 hadi 2.5.