Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

• Ipo Kibamba Mwisho • Ukubwa wa eneo ni ekari 4 • Ina hati miliki • Imesajiliwa • Inauzwa TZS bilioni 1.2 . ✓ darasa 1-7 ✓ inatoa huduma ✓ ni ya kutwa ✓ ina maabara na jengo la ofisi ✓ ina...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Tofali za Mwamba ni imara na mara 5 zaidi ya tofali za kawaida zinastahimili magadi na seh korofi kama kwenye maji udongo unaotitia na zinaweza kujengea bila kupiga plasta kwa nje hivyo kuepusha...
1 Reactions
6 Replies
693 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kwa miaka yoyote ambayo ulikaa shuleni, ulifundishwa mambo mengi sana. Lakini kuna elimu moja muhimu sana ambayo hukufundishwa na ndiyo inayokutesa mpaka leo. Ulifundishwa...
11 Reactions
124 Replies
4K Views
pata mkopo wa riba nafuu na haraka kutoka kfinance kwa wakazi wa Dar es salaam na Dodoma tunakopesha wafanyabiashara na waajiriwa wa secta zote serikalini na binafsi, Tunapatikana mbezi beach...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari ndugu, naombeni msaada kwa yeyote mwenye gazeti la HABARI LEO la Leo tarehe 04/09/2024 anisaidie jambo. Nimepoteza vyeti vyangu vyoye vya elimu hivyo ilinipasa kuandaa tangazo kwenye...
2 Reactions
6 Replies
631 Views
Habari viongozi nimekwama nauza RAV4 iyo hapo bei ni million12 haina udalali ni moja kwa moja tuwasiliane kwa 0699361938 ipo tabata Dar es Salaam
1 Reactions
0 Replies
366 Views
Wakuu, nipo mjini Mtwara. Nahitaji nipate vitu vifuatavyo. Pete za ndoa Pete za uchumba Mkufu Hereni na brcelet Vyote hivyo viwe English Gold materials. Naomba kufahamishwa maduka gani niende...
2 Reactions
21 Replies
907 Views
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA _______ MAHALI-MICHESE BLOCK ZF _______ UMBALI TOKA TOWN-6KM TU ________ UKUBWA-479SQM __________ BEI 12M -DOCUMENTS ZAKE ZA UMILIKI ZIMENYOOKA 0622111186...
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Misumeno na yenye ala inauzwa. Ni mikali na imara sana. Inafaa sana kwa shughuli za nyumbani,kambini,ufundi. Inafaa pia kukatia pemba za ng’ombe na mbuzi. Wahi ofa hii katika bei ya shilingi...
2 Reactions
1 Replies
308 Views
Kutokana na gharama za mafuta kupanda juu. OKEMI technical services tumekuja na huduma ya kufunga mfumo wa gas fuel kwenye magari yote yanayo tumia diesel na petrol Gas fuel ina gharama nafuu kwa...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Wanga na sukari ni vyakula ambavyo hutia mwili nguvu. Lakini ulaji wa vyakula aina hiyo unapaswa kuangaliwa kwa umakinj mana ni kiasi kidogo mno ambacho hutumika kuleta nguvu kwa mtu. Hivyo basi...
1 Reactions
9 Replies
753 Views
Model: SUBARU FORESTER 20XT EYESIGHT Km: 68,000 Year: 2013 Fuel: Petrol Price: 35.5M Direct message for more details
4 Reactions
21 Replies
2K Views
WATEJA WANGU WANGUVU NIMEWALETA SIMU ZA NOKIA 106 FULL BOX BEI YA JUMLA TSH 19500 REJAREJA 23000 NIPO KARIAKOO UHURU PLAZA MIKOANI UNATUMIWA KWA UAMINIFU MKUBWA NIPIGIE 0713861567 / 0760081567
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kabla ya kuwekeza fedha zako kwenye ardhi na majengo, ni muhimu kupata maarifa sahihi kwa sababu kadhaa. Kwanza, maarifa haya yatakusaidia kuelewa hali halisi ya soko la ardhi na majengo, ikiwa...
3 Reactions
2 Replies
745 Views
Eneo la ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa kwa gharama nafuu, eneo linapatikana Mwanza wilaya ya Ukerewe, ndani ya Ziwa Victoria. Eneo hili lina sifa nzuri kwa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Nauza AC yangu ya hisense inverter Nina miezi 5 toka nimenunua. Sababu ya kuuza nimehamia office mpya sasa nimekuta iko full Ac za jengo. Price 750,000/= Umeme mdogo Sana Call 0692562259...
1 Reactions
0 Replies
371 Views
996 online Shop ni wauzaji wa Accessories za aina tofauti kama Smartwatch EarPods Speak Cheni & hereni Saa za mkononi n.k Location •• Kariakoo, Dar es Salaam Call •• 0788929673
0 Reactions
91 Replies
4K Views
Nahitaji vifungashio kwa ajili ya kufungashia bisi (Pop corn) kibiashara.
2 Reactions
0 Replies
406 Views
Rafiki yangu mpendwa, Njia bora kabisa ya kujifunza kwenye maisha ni kutoka kwa wale waliofanikiwa kwenye kitu hicho. Inapokuja kwenye uwekezaji, Warren Buffet, bilionea na mwekezaji ambaye...
3 Reactions
1 Replies
855 Views
Back
Top Bottom