Habari
Nauza kamera tajwa hapo juu. Iko katika very good condition. Nilikuwa naitumia kushuti video za kitchen parties nilizokuwa naandaa. Haijatumika muda mrefu nimenunua ya juu yake ambayo ina...
Jipatie Smart watch Original leo
1. Smart watch na earpods
- unapata smart watch, earpods na mikanda yake saba yenye rangi tofauti tofauti kwa 55,000 tsh th
2. Smart watch mbili na mikanda yake...
Jinsi Kuandaa Mkataba Wa Malipo Ya Awamu Ya Kiwanja (Land Installment Contract)
Maana Ya Land Installment Contract
Land installment contract (kwa Kiswahili, mkataba wa mauzo ya ardhi kwa awamu)...
Salaam,
Nahitaji kontena la futi 20 lililotumika liwe Mkoa wa Dsm. Liwe katika hali nzuri (halivuji, halina kutu)
Mwenye nalo njoo DM.
=65&hash=735915e41f15bfcf354a0b66ea806df8']Attach files
🔊 MziKi mNeNE 🔊
*Sabufa ni mpya, Ina wiki tatu tu tangu itoke dukani. Ina njia mbili za umeme, AC na DC, yaani inapiga kazi hata kwenye solar au betri tu ya gari au pikipiki.
Ina
Bluetooth
FM...
Kama kuna mtu au wataalamu wa kupuliza dawa majumbani ninaomba tuwasiliane kuna wadudu wanakula mbao za dali ninaitaji sana kama yupo tuwasilane kwa kazi hii
Wateja wetu ambao mliweka oda ya incubator za body ngumu [hardboard] za mayai 120,528 hadi 10000 mzigo tayari umefika karibuni mifugo plus mjipatie wahi material ya sasa ni imara na magumu...
Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3?
Upimaji usiwe Kwa foot
Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia.
Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar
Wajuzi mtujuze📌
Habari wana Jf
Je unateseka na simu yako sababu ya kioo? usikate tamaaa suluhisho limepatikana. Je bado unateseka na chaja yako kuharibika mara kwa mara. Sasa agiza na mi china kifaa original kwa...
Kama unamzigo wowote kutoka Congo na zambia. Mzigo wowote tunakuvushia upande wa Tanzania Kwa usalama kabisa. Nipo boda ya Tunduma.
Kama una mzigo tunaweza fanya kazi. Muda wowote.
Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi.
Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene.
Kwa kuanzia inahitajika tani 60...
KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 .
#SADAKALAWE
●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30
■Inageuza mayai yenyewe.
■Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
■Inakuja na...
Wakuu Kwa sasa nahitaji kununua ardhi kuanzia hekari 4
Naomba kujua wapi napata ARDHI Kwa bei 150000 Hadi laki 2 kushuka hapo.
Natanguliza shukrani kwako great thinker🏆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.