Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Nauza kamera tajwa hapo juu. Iko katika very good condition. Nilikuwa naitumia kushuti video za kitchen parties nilizokuwa naandaa. Haijatumika muda mrefu nimenunua ya juu yake ambayo ina...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Bei 70k Niyamtu hivyo hatujui inaram ngapi wala hdd wala tatizo Imezima muda kidogo (kwa mujibu wa aliye nayo)
0 Reactions
4 Replies
406 Views
Jipatie Smart watch Original leo 1. Smart watch na earpods - unapata smart watch, earpods na mikanda yake saba yenye rangi tofauti tofauti kwa 55,000 tsh th 2. Smart watch mbili na mikanda yake...
2 Reactions
5 Replies
804 Views
Jinsi Kuandaa Mkataba Wa Malipo Ya Awamu Ya Kiwanja (Land Installment Contract) Maana Ya Land Installment Contract Land installment contract (kwa Kiswahili, mkataba wa mauzo ya ardhi kwa awamu)...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam, Nahitaji kontena la futi 20 lililotumika liwe Mkoa wa Dsm. Liwe katika hali nzuri (halivuji, halina kutu) Mwenye nalo njoo DM. =65&hash=735915e41f15bfcf354a0b66ea806df8']Attach files
2 Reactions
0 Replies
303 Views
Naombeni sapoti yenu. Nimefungua Pub yangu Kinyerezi Mahakamani (Mnadani) inaitwa Run way pub. Asanteni Pia karibuni sana.
35 Reactions
452 Replies
11K Views
• Direction: Kinyerezi • Facilities: 4 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 940 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 320 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba (ghorofa) ina vyumba...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
• Direction: Mwisho • Facilities: 4 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 400 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 250 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba (ghorofa) ina vyumba master 2...
1 Reactions
2 Replies
490 Views
🔊 MziKi mNeNE 🔊 *Sabufa ni mpya, Ina wiki tatu tu tangu itoke dukani. Ina njia mbili za umeme, AC na DC, yaani inapiga kazi hata kwenye solar au betri tu ya gari au pikipiki. Ina Bluetooth FM...
2 Reactions
8 Replies
800 Views
Ina vyumba 4, viwili master bedroom. Kiwanja kikubwa, square meter 1200 Umbali km 1 kutoka Morogoro road. Umeme na maji vipo Bei milioni 45
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Kama kuna mtu au wataalamu wa kupuliza dawa majumbani ninaomba tuwasiliane kuna wadudu wanakula mbao za dali ninaitaji sana kama yupo tuwasilane kwa kazi hii
2 Reactions
3 Replies
371 Views
Wateja wetu ambao mliweka oda ya incubator za body ngumu [hardboard] za mayai 120,528 hadi 10000 mzigo tayari umefika karibuni mifugo plus mjipatie wahi material ya sasa ni imara na magumu...
0 Reactions
0 Replies
501 Views
Kwa Dar es salaam kuna maeneo ambayo viwanja vinaweza patikana Kwa laki 3? Upimaji usiwe Kwa foot Tuseme mfano Kwa 20m Kwa 20m Kwa kuanzia. Kigezo eneo lolote ila iwe ndani ya Dar Wajuzi mtujuze📌
9 Reactions
97 Replies
3K Views
Habari wana Jf Je unateseka na simu yako sababu ya kioo? usikate tamaaa suluhisho limepatikana. Je bado unateseka na chaja yako kuharibika mara kwa mara. Sasa agiza na mi china kifaa original kwa...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Kama unamzigo wowote kutoka Congo na zambia. Mzigo wowote tunakuvushia upande wa Tanzania Kwa usalama kabisa. Nipo boda ya Tunduma. Kama una mzigo tunaweza fanya kazi. Muda wowote.
4 Reactions
20 Replies
911 Views
Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi. Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene. Kwa kuanzia inahitajika tani 60...
0 Reactions
0 Replies
364 Views
KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 . #SADAKALAWE ●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30 ■Inageuza mayai yenyewe. ■Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu. ■Inakuja na...
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Nafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini. Mawasiliano: WhatsApp & Call 0652802379
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakuu Kwa sasa nahitaji kununua ardhi kuanzia hekari 4 Naomba kujua wapi napata ARDHI Kwa bei 150000 Hadi laki 2 kushuka hapo. Natanguliza shukrani kwako great thinker🏆
1 Reactions
2 Replies
437 Views
Habari wadau. Nimehatika kupata kazi hospital ya muhimbili hivyo nahitaji chumba na sebule maeneo ya upanga ofa yangu ni laki mbili kwa mwezi
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Back
Top Bottom