Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

INAPANGISHWA_MASTA SEBULE ENEO - MBEZIBEACH GOBA ROAD KODI - TSHS 150,000 NIONE - 0679268006
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu. Ni za kilo 3.5 mpaka kilo 4 Mtu yoyote anaweza ku afford Bei ni tsh 120,000 tu. Kwa mawasiliano zaidi tunapatikana Kwa 0772835536. NB...
1 Reactions
10 Replies
685 Views
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 150 linauzwa. Liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe, kijiji cha lwanzali kwani miundombinu yote iko sawa, na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi...
3 Reactions
3 Replies
906 Views
Karibuni kiwanja wana jamiiforum, kipo sehemu nzuri kutoka kiluvya madukani mpaka kilipo nauli ni buku. Kiwanja hakina udalali na maelewano yapo. kwa mawasiliano zaidi karibu +255617011077...
3 Reactions
12 Replies
764 Views
Nimetumia miezi miwili tu Iko full box Bei: 17,5000/- TZS nimenunua 270,000/- TZS +255676095799
1 Reactions
42 Replies
3K Views
Iphone X 64gb Face ipo Battery 100 Power button haifanyi kazi 0743586474
1 Reactions
5 Replies
526 Views
AVAILABLE BRAND NEW 𝗚𝗔𝗟𝗔𝗫𝗬 𝗔𝟭𝟰 𝟭𝟮𝟴𝗚𝗕 | 𝟲𝗚𝗕📱 🔗Brand New 🔗Mixed Colors 🔗Dual Sim ✔️ ✨𝗧𝗦𝗛 𝟯𝟭𝟬,𝟬𝟬𝟬/= 💰 📍Kariakoo, Magila & Likoma,Opposite KKKT DMP Call / Text +255 714 981607 ☎️ 24 Months...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Wajasiriamali tunawakaribisha mashine ya kukausha vitu mbalimbali kama samaki,dagaa,mboga,matunda au nyama. Tunaitengeneza hapa hapa katika ukubwa tofauti kutokana na hitaji la mteja. Mashine hii...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Hii ni zaidi ya Offer.!! TV nchi 32 Showcase King'amuzi cha Azam chenye malipo ya mwezi na Dish lake. Saboowfer Cables zote. Vyote 400,000/=
3 Reactions
8 Replies
800 Views
Wakuu poleni na majukumu, moja kwa moja kwenye point, niko Mkuranga nahitaji Pool table, mwenye ufahamu ni wapi naweza pata na gharama zake nitashukuru mno. Nawasilisha nikiambatanisha na shukran.
2 Reactions
7 Replies
595 Views
Habari ya uzima. Kwa MTU yeyote au Kampuni inayohitaji huduma ya usafirishaji mizigo , Local cargo au transit cargo , naomba tuwasiliane . Tunayo Magari Aina ya flatbed pamoja Tipper Haya...
3 Reactions
6 Replies
532 Views
Habari wakubwa!!! Nahtaji kujua bei ya mashine ya kuprint mifuko ya mazao kama Michele mpunga mahindi unga nk na mawasiliano kama Kuna Mtu anajua
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Wadau! Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Nauza hii freezer ya West Point inagandisha barafu na umeme ukikata inaweza Kaa masaa 12, haina shida yoyote, inapatikana kijitonyama dar es salaam. Bei ni 300,000. Oven 80,000 Deep fryer 100,000
1 Reactions
4 Replies
678 Views
Halina shida yoyote ni 100% Msasani bei ni fixed 380k aipungui, hivo hakuna maongezi please🙏 +255685909105
2 Reactions
7 Replies
689 Views
Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada Tuna balo za nguo aina zote kama Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans...
0 Reactions
2 Replies
973 Views
Habari wadau! Kwa mnaoguswa na tozo kama mimi poleni sana. Naomba kuutaarifu umma kwamba niko njiani kuingia kwenye biashara ya nguo za mtumba. Nimedadisi kiasi fulani nikaona nguo za mtumba ni...
5 Reactions
6 Replies
4K Views
Solar water pump, zinapatikana kwa bei ya punguzo. Ili kujua bei na pampu inayokufaa tupe maelezo yafuatayo -Aina ya chanzo cha maji. -umbali toka chanzo hadi maji yapohitajika kufika. -mwiunuko...
2 Reactions
9 Replies
998 Views
Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
1 Reactions
8 Replies
800 Views
Back
Top Bottom