Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Yes, Nauza harrier tako la nyani m31 karibuni sana. 0715 494920 & 0783 708437. Gari ipo Msasani karibu kabisa na kituo cha polisi ostabey mpya. (Mazungumzo yapo kidogo)
3 Reactions
9 Replies
772 Views
Tafadhali kwa anaejua duka ninaloweza kupata printer ya epson px660 naomba anijulishe pamoja na bei.
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Wapendwa katika biashara, nataka kununua Fuso la kubeba Mizigo ya Mikoani. Sijawahi kufanya biashara yoyote ya kusafirisha mizigo wala ya magari aina yoyote. Ningependa kujua yafuatayo kutoka kwa...
0 Reactions
38 Replies
20K Views
Habari wakuu Kwa bajeti ya milioni tatu ,natafuta moja ya gari hizi pichani.Niko Kibaha,piga 0713 -039 875
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau habari zenu nauza fridge aina ya Hitachi zuri na zima halina shida yoyote bei laki 2 na 30 na linagandisha vizuri
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Tunapenda kuwakaribisha wateja wote wenye mahitaji ya kazi za aluminium na upvc, kufanya kazi nasi. Tuna mafundi bora wenye uzoefu na weledi wa kazi, tunafanya kazi kwa uaminifu kwa kuzingatia...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
• Direction: Mshikamano, Mpigi Magoe Road, 1 km off Morogoro Road • Facilities: 10 bedrooms, 12 washrooms • Survey: surveyed • Plot Area: 1,600 sqm • Document: Sales agreement • Price: TSH 130...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Dirisha la futi 5x5 ni 250,000 Dirisha la futi 5x6 ni 260,000 Dirisha la futi 6x6 ni 280,000 Dirisha la futi 6x7 ni 300,000 Dirisha la futi 7x7 ni 330,000 Tupigie simu no 0659557284
4 Reactions
59 Replies
10K Views
Wadau habari za muda huu? nahitaji kujua mashine nzuri ya kuprint t-shirt, mtengenezaji, bei yake na pia kwa Dar nitapatia wapi? Asante
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari wanajukwaa, napenda kuwakaribisha wale wote wanaohitaji kukata bima ya afya kutoka jubilee karibuni sana nitawahudumia. Katika bima ya afya ya Jubilee unaweza kukata ya mtu mmoja, mtoto...
0 Reactions
72 Replies
16K Views
Natafuta kiwanja Dodoma maeneo ya kisasa au Ilazo North Offer M 14 Kiwe na ukubwa wa Square M1000. Kama unacho piga 0789 919393 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Library ya movies za kutafsiriwa na zisizotafsiriwa inauzwa ipo mabibo NIT chuo cha usafirishaji, library ipo barabarani kabisa, unaweza kukaa mwenyewe au unatafuta kijana ukamuweka kuingiza...
6 Reactions
6 Replies
624 Views
Habari JF, Je unahitaji mpishi mwenye ujuzi mkubwa wa kupandisha mauzo yako kwa kuongeza wateja wengi katika biashara hako? Kama ndiyo basi yupo kijana mdogo mwenye ujuzi wa kupika vyakula vyote...
0 Reactions
11 Replies
653 Views
Natumaini mko poa. Mimi nauza CPU yenye jina Dell Omniplex 780 Intel cup duo 3.06 GHZ, 6.0 GB RAM na HDD 210. Hii ilikuwa inatumika ofisini Bei sh 150,000 Imerumika miezi kadhaa tu Piga hii...
2 Reactions
6 Replies
615 Views
Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi...
1 Reactions
4 Replies
519 Views
Sio wote tunajua umhimu wa WRITEUPS za kimkakati na kimaendeleo hasa katika kuleta ukamilifu wa WAZO lako. Wengi tuna mawazo mazuri sana kichwani ila yako random..ndipo inapokuja HAJA ya kuandika...
2 Reactions
12 Replies
576 Views
Habarini wana jamvi. Katika harakati za maisha nimeamua kufungua biashara (Chimbo) ya kuuza simu jumla na rejareja kutoka Dubai na China. Duka linapatikana mtaa za Aggrey na Masasi Kariakoo...
7 Reactions
18 Replies
792 Views
Habari za wakati huu... Natumai wote ni wazima wa afya.. Wale ambao afya inashida kidogo Inshaallah mwenyezi atafanya wepesi tutakuwa sawa... Leo nataka tukumbushane kuhusu kununua eneo au mali...
3 Reactions
4 Replies
706 Views
Kama unazo njoo inbox USSR
3 Reactions
3 Replies
437 Views
Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" Eneo lina SQM 450 Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅ Nyumba ina fence ya umeme Nyumba ina paving Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina...
2 Reactions
2 Replies
692 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…