Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza cherehani aina ya singer kichwa cha cherehani meza ya cherehani kama utaitaji utapata na mota ndogo mashine ina uwezo wa kushona nguo vitambaa vya mpira ngozi HII CHEREHANI ILIKUWA...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
2 Reactions
3 Replies
563 Views
Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo. Tuna balo za nguo aina zote. Gauni za kike Suruali za kike Mabwanga Skin and boyfriend jeans Mashati T-shirt...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki cha likizo, anatafutwa mwalimu anayefundisha darasa la pili (English Medium). Kwa mawasiliano zaidi, piga simu 0682405461
1 Reactions
2 Replies
455 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/nauza-maziwa-ya-ngombe-wa-kienyeji-na-ya-mbuzi.1865163/#post-52214680 Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya biashara hii, lakini kwa sasa nimeachana nayo...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare. Nitashukuru pia...
5 Reactions
68 Replies
16K Views
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni. Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6 Aina ya gari...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni Subwoofer hii ni size ya kati...
0 Reactions
0 Replies
373 Views
πŸ“’ TANGAZO LA KIBIASHARA πŸ“’ Dar ITcare - Wataalam wa TEHAMA kwa Mahitaji Yako! Je, unahitaji suluhisho bora la kiteknolojia kwa biashara au taasisi yako? Dar ITcare tunatoa huduma za kitaalamu na...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring πŸ’ HomeJewelry 🌟 Timeless Elegance Meets Affordability: PT950 Platinum Ring πŸ’ The on Original PT950 Platinum Ring AliExpress combines...
0 Reactions
3 Replies
800 Views
PATA FIFA 14 PATCH 23 πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯ PES 17 PATCH 23πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ KWA BEI POA KABISA UNAZIPATA GAMES HIZO KAMA MASHINE YAKO INA 4GB RAM ANGALAU CORE 3i ILA BEST ZAIDI IWE i5. Pia TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari tunauza body spray shilingi 6000 tupo Mabibo,Dar es salaam mwenye uhitaji aniicheki mawasiliano yangu 0714954609 0714954609
0 Reactions
0 Replies
323 Views
Habari wanajamvi, Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Eneo: Wazo Hill, Tegeta Ukubwa: 1052sqm Hati: Miliki ya Wizara Nyumba: Mbili (moja ina vyumba viwili na nyingine ina vyumba vitatu) Bei: 210,000,000/- Ikiwa una nia ya kuinunua, unaweza...
1 Reactions
0 Replies
333 Views
Mwenye uhitaji wa hiki kiti tuwasiliane,kipo mbeya mjini,hakijawi tumika bado kipo kwenye box lake kutoka kiwandani
0 Reactions
4 Replies
521 Views
Nahitaji Flash USDT iwe kwenye Moja ya wallet zifuatwzo We can take trc20 or erc20 in Binance wallet Exodus wallet 1inch wallet Na iwe na sifa zifuatazo Flash USDT Features Transferab...
1 Reactions
0 Replies
452 Views
Price/Bei 6 milioni CARINA Ti AUTOMATIC 1490CC FULL AC Nipo nayo Sinza 0625004475
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Offer ya kufungia mwaka kwa mahitaji yote ya promotional materials:- πŸ‘‰Printed Tshirt @15,000 (10+ PCs) πŸ‘‰Printed cap @12,000 (10+ PCs) Tunawatakia Watanzania wote heri ya siku ya Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
376 Views
Kwa mtu anayehitaji chuma na sebule kinapagishwa tandika mashine ya maji,choo cha ndani,maji,umeme unapatikana.bei 150000 kuanzia miezi 3 na kuendelea.kuna geti pia ni karibu na barabara.
1 Reactions
2 Replies
398 Views
Tunapoadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania, tujikumbushe maneno ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusu Muungano wa...
1 Reactions
7 Replies
606 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…