Tunatoa huduma ya kusafisha eneo la ujenzi (kwa kukata miti katika eneo husika) kwa kutumia mashine.
Tunapatikana mbezi louis na tunafanya kazi popote ndani na nje ya Dar es Salaam.
Bei zetu ni...
Najua watanzania wengi mnapenda sana kusoma vitabu . Shida iliyopo kubwa watanzania wengi lugha ya kingereza inatupa shida.
Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu...
Faida za kuongeza mwani kwenye mlo wako
Husaidia kupunguza unene, kupandisha kinga za mwili.
Hupunguza kiasi Cha mafuta mabaya mwilini, Hupunguza mchakato wa kuzeeka kwa ngozi, Hupunguza...
Tunauza Photocopy machines Canon Ir 2525i Used
Bei ni 2,500,000/- kwa moja
Tupo Zanzibar, tunaweza tuma Dar na hata mikoani ila gharama za utumaji zitakuwa juu ya mnunuzi.
Kama kichwa Cha habari kinavyosema Naihitaji Kiwanja miguu 13x13 ya hatua kubwa kibaha jaribu na barabarani bahitaji pia nijue ni bei gani nipo serious wadau
Assalam alaykum viongozi
Nahitaji kupata uelewa kuhusu biashara ya kutengeneza madaftari, counter books na yale ya kawaida. pls yeyote mwenye uelewa kuhusu biashara hii njoo unipe tips. Pia...
Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali...
Hello wakuu,
Inahitajika TV ya kununua bei ndogo inavyowezekana, kuanzia inch 32 na kuendelea, used or mpya bajeti ni 200,000 hadi 300,000/=
Location: Dar es salaam
ikipatikana hadi kufikia...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
Rafiki yangu mpendwa,
Kwa muda sasa tumekuwa tunakupa habari njema za SEMINA YA USIMAMIZI WA FEDHA BINAFSI 2024. Hii ni semina inayokwenda kukujengea ujuzi wa aina tatu; KUPATA, KUTUNZA na...
Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?,vifo vya mara kwa mara?wanashambuliwa
na magonjwa mara kwa mara?
Umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka sasa...
Nguruwe wako wamedumaa?
wamekonda?
wamedhohofika?,
vifo vya mara kwa mara?
wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara?
umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na...
Habari
Kuelekea msimu wa kilimo pata shamba, nina shamba heka 8 chamwino vijijin kwenye hilo shamba kuna kisima cha maji hivyo ni zuri kwa kilimo cha umwagiliaji.
Shamba linauzwa milllion...
Unahitaji gari la kuaminika kwa siku chache au wiki? Usiende mbali! Rhond's company limited huduma zetu za kukodisha magari zinatoa:
Magari yaliyotunzwa vizuri
Vipindi vya ukodishaji...
Karibu kwenye mradi wetu mpya uliopo BAGAMOYO, FUKAYOSI, Mradi huu upo umbali wa 2km kutoka Bagamoyo-Msata road.
MRADI HUU UKO FULL SURVEYED✅✅
Mradi unafikika Kwa urahisi mno kwakua ipo...