Tunapatikana Mabibo Farasi lakini tutakufikia popote Dar es Salaam..
Bei:
Tzs 50,000 kwa Turubai moja kwa siku
Tzs 400 kwa kiti kwa siku
Tunatoa huduma ya usafiri bure.
Wasalaam wana JF
Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma.
Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...
Habari za mchana wadau, mimi ni mtanzania wa kawaida natafuta mbia ambaye tutashirikiana kujenga na kuendesha kituo cha mafuta pale Fukayose bagamoyo, nina kiwanja very pontential kwa biashara...
nahitaji kijana msaidizi wa kazi mgahawani. mgahawa upo uswazi hauna mishe nyiingi kivileee..nilisha wahi kupost hapa nashukuru nilimpata mmoja mpaka leo ninae..nahitaji mwingine Ofisi inakua...
pata pochi, unique, genuine, nzuri, kubwa, imara, na nadhifu inayokupa classy kutoka kwa mjasiriamali Mtanzania.. achana na plastic za kiChina...
bei nafuu pochi +kiatu 45000
pochi only...
Upungufu wa nguvu za kiume ni shida inayosumbua wengi,lishe duni,msongo wa mawazo na mitindo ya maisha ya watu wengi, vimekuwa visababishi vikubwa vya tatizo hili kwa kuona hivo kampun yetu ya...
Tusafiri pamoja kutembelea mji wa kale wa Bagamoyo Jumamosi ya tarehe 24/9 kwa gharama ya shilingi 15,000/- tu ikijumuhisha Nauli ya kwenda na kurudi, gharama ya mwongozaji (guide) na breakfast...
Habari walimu, nawatangazia kwamba nimefanya maboresho ya system(chenjifasta) na kuweza kurahisisha kumpata mwalimu wakubadilishana kituo haraka pasipo ata kutumia nguvu nyingi.
Kama ujajisajiri...
Jipatie Toyota Camry kwa Tshs. 3,000,000.ipo katika hali nzuri na ipo hapa Mwanza mjini maeneo ya buzuruga.anaehitaji tuwasiliane kwa #0742159555
Note:This add meant for those who are inneed of...
Natafuta nyumba ya kupanga ninashughuli ya mwezi mmoja Zanzibar na iwe naa vyumba 4 hivi ikisindikana vi3 pamoja na jiko especially maeneo karibu na mnazi mmoja hospital.
Habari wanajamvi Mimi nipo mwanza ninashida Na smart phone mpyaaa nina laki Na nusu.... msaada please ni cmu Gani nzuri nitaipata kwa hii pesa yangu???
INVOICE-PROFORMA GENERATOR SYSTEM
Invoice-proforma generator is a system that can be used to easily generate your Proforma and invoice for your clients, Track payment of each invoice...
GATEWAY DESKTOP COMPUTER (ALL IN ONE) YENYE SPECIFICATION ZIFUTAZO INAUZWA
v Hard Disk 1TB (GB 1000)
v Ram 6 GB
v Processor Core i3
v Mouse and keyboard ni wireless
v Display Inch 21
v...