Habari Ndugu, nauza kuku wa kienyeji wakubwa kabisa kutoka dodoma.
bei ni kati ya elfu 16-20 kulingana na ukubwa wa kuku.....
tunapatikana njia panda ya Segerea Dar es salaam nawasiliano...
wakuu za humu ndani
mtanisamehe narudia kuomba maana sina jinsi na hii ndio njia yangu ya pekee kutoka kimaisha,nafikiri kwa ambae yuko au ameshapita kipindi hiki ananielewa...
salaam wana jamvi. natangulza samahan mimi ni mkulima ambaye huwa nachanisha mbao miti migumu. . sasa nilikua nahtaji soko kwa maelezo kuhusu aina ya mbao na bei . .naomba uni PM nikupe namba...
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;-
# Kisukari.
# Shinikizo la damu.
# Maumivu ya viongo.
# Upungufu za nguvu zakiume.
# Upungufu wa kinga mwilini.
# Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa...
Wadau karibuni mafuta mazuri ya nazi asilia kwa ngozi na nywele zako.
mawasiliano.
Piga: 0712 464 064
whatsapp: 0767 270 682
Rejareja ni 8500 kwa chupa ya ujazo wa Ml. 200
jumla ni...
Habari wana education, nafundisha web design & development, joomla,wordpress,database and how to host website/blog online bure kwa wakazi wa dodoma.
Njoo ujifunze kupitia ofa hii ya mwezi mmoja...
Orliflame ni kampun ya kisweden iliazishwa mwaka 1967, iko zaid ya nchi 60 dunian, na uzoefu wa miaka 50.
Inajihusisha na bidhaa za asilia kuazia kichwan hadi miguuni, kwa wanawake, wanaume na...
Natafuta mkopo wa kuniwezesha kulipa ada ya chuo. Anayeweza kunikopesha tutaweka makubaliano ikiwa ni pamoja na collateral ya fixed asset yangu iliyopo wilaya mpya ya Busega mkoni Simiyu. Please...
WE HAVE POTENTIAL BEACH PLOT AT JAMBIAN SOUTH EAST COAST OF ZANZIBAR ISLAND IN TANZANIA.
THE PLOT IS ABOUT 19,000SQM.
WE ARE VERY FLEXIBLE FOR WHOEVER INTERESTED, WE MAY LEASE THE LAND, OR...
Tunapatikana Mabibo Farasi lakini tutakufikia popote Dar es Salaam..
Bei:
Tzs 50,000 kwa Turubai moja kwa siku
Tzs 400 kwa kiti kwa siku
Tunatoa huduma ya usafiri bure.
Wasalaam wana JF
Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma.
Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...