Ninauza viwanja eneo la mji mpya Kibamba Mloganzila mita 200 toka kinapojengwa chuo kipya cha Muhimbili.
Kuna njia NNE za barabara ya gari kuingilia Kibamba CCM, Kibamba kwa Mangi, Kibamba...
Hivi kwanini uendelee kuhangaika kutafuta ada eti ili ukalipie chuo fulani ukasome kozi Fulani na wakati kwa sasa unaweza ukaisoma kozi hio hio kwa njia ya mtandao na wala mtu yeyote asikuingize...
Wanajamvi habari nahitaji gari dogo ya kutembelea BAJETI YANGU NI ML3 hadi 4 iwe na documents zote na isiwe inadaiwa motor vehicle
0759007829 whatsapp
(Sitaki Passo )
Habari wakuu,
Nauza flat tv LG LED inch 43 kwa TSH 1200,000/=.ni mpya, kuna mtu aliniagizia toka dubai ila ameshindwa kuilipia, ina miezi miwili tu.
Kwa mwenye uhitaji anicheck kwa +255...
Wakuu kama Title inavyojieleza hapo juu, nahitaji kufahamu baadhi ya show rooms za magari zilizopo kwa hapa Dar es salaam...itakuwa vyema ukinielekeza njia rahisi ya kufika hapo Show room,
Ahsanteni.
Habar wakuu safar ya kuhamia Dodoma bado I naendelea karibu sofa set kwa bei chee kabisa ya 280k kwa Maelezo na mapicha Whatsap 0763772636 nimeshindwa kuweka picha
Hii ni habari ya kufurahisha na kuleta faraja kwa wanaomiliki hotel, biashara ndogo na ya kati.
Wauzaji wa jumla na rejareja wa bidhaa mbali mbali:
Supermarket na mini...
(Salam)
Nahitaji frame za biashara
1. Pharmacy/ duka la dawa
2. Barber shop
Maeneo yaliyochangamka kwa hizo biashara. Kwa dsm na mwanza
Call 0713774746
In ofisi inayojishughulisha na shughuli za UPEPO kama vile kuunga pancha, kupuliza Magari ndani na kenye injini, n.k .
Ofisi ni ya muda mrefu na inajulikana, kuna umeme wa kujitegemea
Ofisi iko...
Habari,
Tumeanzisha kampuni ya Mineral Consultant itakayokua inajihusisha na processing of minerals na extraction of metals from their ores. Tunajihusisha zaidi na Gold, Copper, Silver, Nickel na...
Habarini,
Nahitaji huduma ya mtu yoyote mwenye uwezo wa kutengeneza nyasi bandia (Artificial/ Fake grass) AU mtu yoyote anaeuza kwa reasonable price.
Kwa Muuzaji: Iwe mpya au used zote sawa na...
Habari wana jukwaa...
kwa wale wapenzi wa riwaya za mtunzi Ben Mtobwa, kwanza napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wote kwa kuweza kuwa chachu ya kuendeleza kazi za Mzee.
Kwa mara nyingine tena...
Wanabodi kuna mtu anauza Friji lake bado linadai ni nzuri sana system ya Taa na freezer bado ipo hai sana ana emergency ya dharura ndio maana anauza pliz
Nipigie simu nikuunganishe ukihitaji...