Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza viwanja eneo la mji mpya Kibamba Mloganzila mita 200 toka kinapojengwa chuo kipya cha Muhimbili. Kuna njia NNE za barabara ya gari kuingilia Kibamba CCM, Kibamba kwa Mangi, Kibamba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi kwanini uendelee kuhangaika kutafuta ada eti ili ukalipie chuo fulani ukasome kozi Fulani na wakati kwa sasa unaweza ukaisoma kozi hio hio kwa njia ya mtandao na wala mtu yeyote asikuingize...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za leo. Nina Ng'ombe 9 wazuri nauza . Leteni order. Nitumie ujumbe inbox. Winni
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanajamvi habari nahitaji gari dogo ya kutembelea BAJETI YANGU NI ML3 hadi 4 iwe na documents zote na isiwe inadaiwa motor vehicle 0759007829 whatsapp (Sitaki Passo )
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nauza flat tv LG LED inch 43 kwa TSH 1200,000/=.ni mpya, kuna mtu aliniagizia toka dubai ila ameshindwa kuilipia, ina miezi miwili tu. Kwa mwenye uhitaji anicheck kwa +255...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 5 for sale Original na Full Boxed 16GB Internal Storage All are Silver in colour Price 440,000 Call 0784780955 or whatsap 0718942311
0 Reactions
1 Replies
687 Views
Wakuu kama Title inavyojieleza hapo juu, nahitaji kufahamu baadhi ya show rooms za magari zilizopo kwa hapa Dar es salaam...itakuwa vyema ukinielekeza njia rahisi ya kufika hapo Show room, Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habari, gari tajwa apo juu! Budget yangu ni 8.5mil na lazima iwe namba D.Fundi wa kukagua nnaye.
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Nina lenovo thinkpad ina ram 8gb hdd 500 core i5 bado mpyaa used wiki chache , nicheki 0719908742
1 Reactions
6 Replies
963 Views
Habar wakuu safar ya kuhamia Dodoma bado I naendelea karibu sofa set kwa bei chee kabisa ya 280k kwa Maelezo na mapicha Whatsap 0763772636 nimeshindwa kuweka picha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ni habari ya kufurahisha na kuleta faraja kwa wanaomiliki hotel, biashara ndogo na ya kati. Wauzaji wa jumla na rejareja wa bidhaa mbali mbali: Supermarket na mini...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Haina shida yeyote ipo Dar kwa yeyote anayehitaji ambaye yupo serious anicheki 0713791233 au 0784791233
0 Reactions
10 Replies
3K Views
(Salam) Nahitaji frame za biashara 1. Pharmacy/ duka la dawa 2. Barber shop Maeneo yaliyochangamka kwa hizo biashara. Kwa dsm na mwanza Call 0713774746
0 Reactions
0 Replies
1K Views
In ofisi inayojishughulisha na shughuli za UPEPO kama vile kuunga pancha, kupuliza Magari ndani na kenye injini, n.k . Ofisi ni ya muda mrefu na inajulikana, kuna umeme wa kujitegemea Ofisi iko...
0 Reactions
5 Replies
959 Views
natafuta kioo cha iphone 4 au nielekeze sehemu wanapouza
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, Tumeanzisha kampuni ya Mineral Consultant itakayokua inajihusisha na processing of minerals na extraction of metals from their ores. Tunajihusisha zaidi na Gold, Copper, Silver, Nickel na...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini, Nahitaji huduma ya mtu yoyote mwenye uwezo wa kutengeneza nyasi bandia (Artificial/ Fake grass) AU mtu yoyote anaeuza kwa reasonable price. Kwa Muuzaji: Iwe mpya au used zote sawa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa... kwa wale wapenzi wa riwaya za mtunzi Ben Mtobwa, kwanza napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wote kwa kuweza kuwa chachu ya kuendeleza kazi za Mzee. Kwa mara nyingine tena...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Wanabodi kuna mtu anauza Friji lake bado linadai ni nzuri sana system ya Taa na freezer bado ipo hai sana ana emergency ya dharura ndio maana anauza pliz Nipigie simu nikuunganishe ukihitaji...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nahitaji begi kama hii tafadhali
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…