Nyumba ya Kuishi pamoja na Kiwanja vinauzwa kwa pamoja (HATI na documents zote muhimu zipo)
KATA: MABIBO
MTAA: MATOKEO
MANISPAA: KINONDONI, DAR ES SALAAM
ENEO (MITA MRABA): 837
Bei ni 250 milioni...
HHabarini wana jf ninauza pikipiki yangu aina ya Shineray 150cc namba mpya haina tatizo lolote napatikana dar es salaam bei sh.950000/=. Mawasiliano 0718151415
Habarini za asubuhi wana JF,
Namshukuru MUNGU tumeamka salama sana, natumai nanyi hamjambo.
Kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kuniepusha na accident mbaya jana jioni maeneo ya Kawe njia ya...
AC= 950000/=, meza kubwa droo 6= 290000/=, kabati kubwa = 280000/=@1, viti viwili vya kuzunguka =230000/=@1, kuna vya staff viwili sio vya kuzunguka= 130000/=@1, vya kawaida viwili 100000@1...
Pata toleo jipya la boxers kwa sh 10000 kila moja! Free delivery kwa Dar!piga 0768643685 kupata zako!
Tunauza socks pia from Uturuki kwa sh 5000 tu pea moja!
Karibuni sana!
Routerz zeny speed safi unapewa na line ya voda 4G ya kibiashara yenye garama nafuu sana kwa kudownload 1mb utatozwa tsh 30 tu
Modem tp link bei 180,000
Moderm ya round 250,000...
SERVICE TRADE PLOT INAUZWA TSHS. 36 MILLION INA TITLE DEED .IPO KTK BARABARA YA LAMI ENEO LA MANDEWA JIRANI NA NEW SINGIDA REFERRAL HOSPITAL ,PIA JIRAN NA KANISA JIPYA (RC) LINALOJENGWA.KARIBU...
SERVICE TRADE PLOT INAUZWA TSHS. 36 MILLION INA TITLE DEED .IPO KTK BARABARA YA LAMI ENEO LA MANDEWA JIRANI NA NEW SINGIDA REFERRAL HOSPITAL ,PIA JIRAN NA KANISA JIPYA(RC) LINALOJENGWA.KARIBU...
Assalaam Alaykum na Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi.
Gari iko Zanzibar.
Ina excellent service record.
Haijawahi kufunguliwa spare yoyote
Inatumia Engine coolant katika radiator.
Haijawahi...
Habari zenu
Simu yangu aina ya Samsung J5 imevujiwa wino kwenye display, natafuta mtaalamu au mahali ambapo wanabadilisha kioo kwa uhakika
Kama yupo anisaidie tafadhali...[emoji22] [emoji22]
ENGINE NA GEAR BOX YAKE KWA PAMOJA VINAUZWA. ENGINE NI NZIMA KABISA NA INAWAKA, NA GEARBOX YAKE NI NZIMA PIA, BEI KWA VYOTE NI MILLION TANO, (5,000,000/=). NIPO DODOMA MJINI. MAWASILIANO...
Karibuni tuwahudumie.
Tunafanya fumigation kuua wadudu wataambaao, warukao, na pia tunatega kwa ajili ya wadudu wasumbuao kama panya na kadhalika.
Tropical Fumigation ndio jibu lako...
2000 Toyota Land Cruiser VX 100 series
Auto diesel 24 Valve Engine 1HDT FTE
BEI: Milioni 29
KM: 200,000
Mawasiliano: 0657 135623
Zaidi: Haijanyooshwa wala kupata ajali. Imelipiwa vibali vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.