Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mikocheni B ,ni chumba sebule na choo. Kodi 200000/= kwa mwezi, malipo kwa mwaka miezi 10 napokea mawasiliano zaidi 0766979955/0653678399
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba la heka 20 linauzwa Njombe,kando kabisa ya barabara ya Songea.Lina miti ya mbao aina ya Pines yenye miaka minne.Bei ni sh Milioni moja kwa heka.Lipo eneo zuri na linafikika kwa urahisi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza samsung galaxy s2 110k bei ya ofa bado ipo vizuri na bei ni fixed nicheki 0784922230. . Kama huna 110 usijisumbue
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Waungwana natumaini hamjambo! Nimefanikiwa kwenye zoezi la Rosella wine na Jumapili tumeionja na marafiki zangu imekkuwa safi sana. Changamoto nilokutana nayo ni kukosa chombo cha kupimia alcohol...
1 Reactions
5 Replies
923 Views
Kwa yoyote anayemfahamu mwanafunzi Wa form 6 aliyemaliza mwaka huu kuna hii fursa ya Scholarship ya Mo dewji foundation. Nimejaribu kupitia kwa haraka nimeona utalipiwa ada na meals and...
0 Reactions
1 Replies
798 Views
salaam wakuu, kwa wale wafanyabiashara wa simu ,bonny electronics tunawaletea bei za jumla ambazo hutazipata kokote kule hapa mjini, simu tulizonazo ni samsung s2@155,000 samsung s3@245,000...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
1000watts Smart Full HD Up-scaling Premium content Wireless Audio Streaming via Bluetooth USB Direct Recording & Playback 3D Playback LG Apps Wired(Ethernet) External HDD Playback PRICE...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
BRAND NEW HOUSE, 3 BDRMS, 3 BATHROOMS, CLOSE TO MAIN ROAD- MOROGORO ROAD, SO VERY CLOSE TO MWENDO-KASI PUBLIC BUSES. RENT 500,000/MONTH (NEGOTIABLE) PAYABLE ONE YEAR IN ADVANCE. RELIABLE WATER...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
0 Reactions
6 Replies
878 Views
Kuna viwanja vinauzwa,vipo kuanzia ft 40 kwa 50,50 kwa 50,50 kwa 60,60 kwa 60,60 kwa 80,80 kwa 100,viwanja vinauzwa kwq bei nafuu sana kuanzia 1.5 na kuendelea,vinapatikana vikindu uzuri ni kwamba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba ina uwanja wa sqm 1200. Ina vyumba vi 4 na kila chumba kina makabati mpaka jikoni nyumba ipo ndani ya uzio wa ukuta kama inavyoonekana kwenye ukuta. Nyumba ina hati. Bei yake 150m. For...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WEWE TU USHINDWE KUMILIKI SMART PHONE YA KIJANJA. Tecno L8 mpya haijafunguliwa full box battery =5050mAh(uwezo wa kukaa na charge 1 week bila kuwasha DATA na 3days DATA ON) camera=8.0 to 2.0mp...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
....Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kibada Square metres 1000 Fully documented yaani kina hati kamili... Ni kizuri sana. Bei million 25. Ni pm kwa maelezo zaidi
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Imefahamika kuwa katika jamii yetu ya Tanzania wapo akina mama, dada, kaka na wengine ambao wamekuwa katika hali ngumu sana na kutokuwa na chochote ili kuanzisha biashara yoyote ndogo na ili...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu nimekwama nauza TV yng nahitaji laki tisa
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaamz wadau, Nina mzigo wa mbao semi trela moja, soft wood, mbao ndefu, 2 x 4, 2 x 6 toka iringa. Kama unahitaji tuwasiliane nikushushie mzigo Wasalaam, Gefu
0 Reactions
24 Replies
3K Views
..
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana jf Natarajia kuvuna matikiti weekend hii.. Shamba lipo mlandizi-kitomondo.. Anaefaham wapi naweza pata wanunuz wa jumla wa matikiti naomba anijuze hapa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ngelipenda kujua bei za jumla na reja reja za uuzwaji wa samaki aina ya KAMBALE sokoni hasa nyanda za juu kasikazini mashariki mikoa ya ARUSHA, KILIMANJARO,MANYARA NA TANGA. NA JINSI YA KUPANGA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wana jf nahitaji remote ya redio Sony mini hifi GZR999D
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Back
Top Bottom