Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ya Kuishi pamoja na Kiwanja vinauzwa kwa pamoja (HATI na documents zote muhimu zipo) KATA: MABIBO MTAA: MATOKEO MANISPAA: KINONDONI, DAR ES SALAAM ENEO (MITA MRABA): 837 Bei ni 250 milioni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bei Tanzania Shillingi 950,000/=
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HHabarini wana jf ninauza pikipiki yangu aina ya Shineray 150cc namba mpya haina tatizo lolote napatikana dar es salaam bei sh.950000/=. Mawasiliano 0718151415
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wana JF, Namshukuru MUNGU tumeamka salama sana, natumai nanyi hamjambo. Kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kuniepusha na accident mbaya jana jioni maeneo ya Kawe njia ya...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu habari! Naitaji gari aina ya nissan civilian iwe engine ya six na pia iwe ndefu namba C au D.Budget yangu ni 15M kama unayo njoo pm tuongee
0 Reactions
6 Replies
998 Views
AC= 950000/=, meza kubwa droo 6= 290000/=, kabati kubwa = 280000/=@1, viti viwili vya kuzunguka =230000/=@1, kuna vya staff viwili sio vya kuzunguka= 130000/=@1, vya kawaida viwili 100000@1...
2 Reactions
38 Replies
8K Views
Pata toleo jipya la boxers kwa sh 10000 kila moja! Free delivery kwa Dar!piga 0768643685 kupata zako! Tunauza socks pia from Uturuki kwa sh 5000 tu pea moja! Karibuni sana!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mawasiliano tigo 0718887009 Voda 0758266736 Kwa kiwango unachohitaji, tuwasiliane. Karibu mapema uweke oda.
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga vyumba viwili maeneo ya ilala boma, kariakoo au maeneo yoyote karibu na kariakoo pia inaweza kuwa appartment
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunakutengenezea Blog kwa Tsh 5,000/= tu!! Tumekusudia kukunufaisha
0 Reactions
5 Replies
833 Views
Routerz zeny speed safi unapewa na line ya voda 4G ya kibiashara yenye garama nafuu sana kwa kudownload 1mb utatozwa tsh 30 tu Modem tp link bei 180,000 Moderm ya round 250,000...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
SERVICE TRADE PLOT INAUZWA TSHS. 36 MILLION INA TITLE DEED .IPO KTK BARABARA YA LAMI ENEO LA MANDEWA JIRANI NA NEW SINGIDA REFERRAL HOSPITAL ,PIA JIRAN NA KANISA JIPYA (RC) LINALOJENGWA.KARIBU...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
SERVICE TRADE PLOT INAUZWA TSHS. 36 MILLION INA TITLE DEED .IPO KTK BARABARA YA LAMI ENEO LA MANDEWA JIRANI NA NEW SINGIDA REFERRAL HOSPITAL ,PIA JIRAN NA KANISA JIPYA(RC) LINALOJENGWA.KARIBU...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Assalaam Alaykum na Amani ya Bwana iwe pamoja nanyi. Gari iko Zanzibar. Ina excellent service record. Haijawahi kufunguliwa spare yoyote Inatumia Engine coolant katika radiator. Haijawahi...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Power horse 760. Duty paid
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani anayejua inakotengenezwa mifuko ya kuwekea unga anijuze.mfano kwenye picha.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu Simu yangu aina ya Samsung J5 imevujiwa wino kwenye display, natafuta mtaalamu au mahali ambapo wanabadilisha kioo kwa uhakika Kama yupo anisaidie tafadhali...[emoji22] [emoji22]
0 Reactions
1 Replies
676 Views
ENGINE NA GEAR BOX YAKE KWA PAMOJA VINAUZWA. ENGINE NI NZIMA KABISA NA INAWAKA, NA GEARBOX YAKE NI NZIMA PIA, BEI KWA VYOTE NI MILLION TANO, (5,000,000/=). NIPO DODOMA MJINI. MAWASILIANO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Karibuni tuwahudumie. Tunafanya fumigation kuua wadudu wataambaao, warukao, na pia tunatega kwa ajili ya wadudu wasumbuao kama panya na kadhalika. Tropical Fumigation ndio jibu lako...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
2000 Toyota Land Cruiser VX 100 series Auto diesel 24 Valve Engine 1HDT FTE BEI: Milioni 29 KM: 200,000 Mawasiliano: 0657 135623 Zaidi: Haijanyooshwa wala kupata ajali. Imelipiwa vibali vyote...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom