Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari,karibu kwenye semina ya ujasiriamali jumamosi tareh 10 september itakayofanyika msasani morocco,tafadhali fika bila kukosa njoo na wageni 0776838310 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Kwa mawasilano juu ya mahitaji ya sabuni yangu nzuri na nzito yenye ubora ni PM bei nafuu na haichubui mikono,surppot yenu wakuu inahitajika ahsanteni sana
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Mambo vipi nataka kujua bei ya kioo cha xperia z1
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Nauza nyumba ipo Kimara mwisho nyumba imeishia linta bei 29,000,000 ina vyumba 3 kimojawapo ni master ina sebure kubwa sehemu ya chakura ,jiko ,vyoo 2 vya ndani na stoo. Eneo lina ukubwa wa meta...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Habar za asubui. Computer inauzwa mzigo mpya una Ram 2gb, hdd 160gb, dvd writter core2duo kioo inch 17 mawasiliano picha 0713844841
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Baiskeli hii inatumika na watoto kuanzia umri wa mwaka hadi miaka minne. Wakati wakiwa wadogo wanaendeshwa na mtu mzima ila baada wanaendesha wenyewe. Bei ni 60000. Imetumika ila ipo kwenye hali...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
camera imetumika kidogo ila ipo kwenye hali nzuri, ina battery na charger.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyie........nahitaji chaja original ya "acer aspire 5720z".........kwa ambaye anabiashara mkononi nijibu hapa nitarudi baadae........madali acheni habari zenu.....maana kwa vya juu hamjambo...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari watz. samahan natafta mtu wa kuniuzia unga wa sembe na dona kwa bei ya jumla isiyozidi 21,000 kwa mfuko wa kilo 25. nanunua kuazia mifuko 10 mpaka 20. mtaji ukiongezeka nitanunua mpaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, natafuta chumba cha kupanga maeneo ya kariakoo, au upanga. Ni kwa ajili ya wanafunzi wanne wa chuo, Kama unafahamu nafasi iliyopo wazi naomba tufahamishane humu kwenye huu uzi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Shamba lipo wilaya ya kilosa unaweza lima mazao ya chakula au kulima miti.Heka moja laki5. mazungumzo yapo. Mawasikiano:0765505756
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
0 Reactions
6 Replies
2K Views
playstation2 inauzwa unapata na kila kitu chake kwa laki na sitintu 160,000... ipo katik hari nzuri kabisa 0656028454 0716332309
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza. Iwe mpya kama used basi iwe in meant condition (full accessories) kwa bajeti ya 400k. Kama unayo njoo pm chap chap
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Uongozi wa (T.A.C) unawatangazia wazazi wote kuwaleta watoto wao waliomaliza darasa la saba ili kuwapatia mafunzo yatakayowaandaa kuanza elimu ya sekondari. Masomo ni miezi mitatu na yataanza...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Habari wana JF, Kwa ambaye ana gari lililokwisha tumika (used car) na angependa kuliuza tafadhali tuwasiliane kwenye namba hizi. 0762890123 0672698356
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Htc Desire 620 smart phone imetumika kidogo kioo chake kimecrack kidogo kwa juu pembeni, ila iko na hali nzuri. Bei maelewano. Inaanzia 150000
0 Reactions
8 Replies
712 Views
Habari yenu wakuu! Nimekuja mbele yenu nahitaji msaada..... Nahitaji kupata location ya mtu hadi anapoishi kwa kutumia namba yake ya simu pia naona simu yake iko hewani. kama unajua software...
0 Reactions
6 Replies
786 Views
Hivi hizi self stick nikiuza 10000/= nani hapa ataninunuza? Zaidi ya moja bei inapungua
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…