Habari wadau,
Nauza lexus is200 bei ni 6 million
6 cylinders, Automatic.
Functioning cruise control
Heated Seats.
Semi leather
Custom front bumper with LED fog lights
Fiberglass custom side...
Kwa anaejua kichina anisaidie,juzi kwenye pita pita zangu mitaani nikakuta nguo za mtumba zinauzwa nikanunua moja kubwa kwa lengo la kwenda Ku edit.Nilipofika home kuikagua mifukoni nikakuta coin...
JE wewe ni mfanya biashara ndogo ndgo, na mwana kikundi chchte ambacho kimesajiliwa au bado hakijasajiliwa na unataka uduma ya mkopo unakataliwa na benk kisa hamjasajili kikundi chenu?
Je wewe...
Kama habari inavyo jieleza, utapata mafunzo ya program mbalimbali za computer popote ulipo hapa DAR, pia matengenezo na ushauri wa kitaalam wa huduma za computer kwa bei rahisi sana, kwa maelezo...
NIMESHAIPATA HIYO PIK-UP ASANTENI SANA ===
NATAFUTA PICK UP,BEI SH MILIONI 4.5 NIPO CHALINZE,naweza kuja Dar kama ipo tayari.
natafuta aina ya toyota hilux,au nisana pickup,kama una brand...
Brethren,
Naamini kumekucha salama, naombeni msaada wa info ni wapi naweza kupata machine ya wheel alignment ya kununua, ikiwa kwa Tanzania tayari nitafurahi au kama unafahamu kampuni ambayo...
Dawa special ya nguvu za kiume, pure organic, 100% miti shamba inapatikana Dar. Siyo ya kunywa ni ya kupaka tu dushe siku moja kabla ya kukutana na mke wako..... Then make malove, mpaka...
PATA AIRMX YA KUPANDA NAMBA 43 YAANI NAMBA TISA KWA 60000 MAONGEZI KIDOGO YAPO
NA PIA PATA SMARTPHONE YA KIJANJA SIMPLE ZTE KIS3 KWA 120000 MAONGEZI KIDOGO YAPO
NAPATIKANA UBUNGO EXTERNAL 0712100668
Wanajamvi naomba anaejua bei ya semitrailer kama zile zinazosafirisha mbao kutoka Iringa anifahamishe. Naomba bei ya kichwa na ile flatbed. New and used. Asanteni
Kwa wale wageni ktk biashara ya mchele wa kahama, au unahitaji mtaalamu wa huko kahama anayehusika na mchele huu wa kahama vizuri ni huyu jamaa, maana mm nilikuwa mgeni ktk hii biashara lakini...
Unga huu wa lishe ni bora sana kwa afya yako,umetengenezwa na lishe mbalimbali ambazo ni muhimu kwa afya yako,kama karanga,soya,mahindi,ulezi na mchele,na umetengenezwa kwa ubora wa hali ya...
Habari wakubwa. Kwa anayehitaji ardhi maeneo ya Kigamboni, Mikwambe barabara ya Kongowe kwa anayetokea Mbagala. Na kama unatokea Ferry ni kituo cha Mikwambe unashuka mbele kidogo baada ya...
Nakuja sokoni mkononi nikiwa na laptop aina ya lenovo idea pad 300 hii ni mpya (used for only 3 months) ina specs hizi hapa chini
Windows10 Pro 2015 original version
Intel Processor(N3050)
500GB...