Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

kiwanja kinauzwa. kipo maeneo ya chidachi, Dodoma mjini. kina ukubwa wa mita 75 kwa 45. kimepimwa na kugaiwa na mamlaka ya ardhi ya mjini Dodoma (CDA). kina hati. kipo kwenye kona. kina ramani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimepangisha Apartment ya kuishi yenye vyumba vitatu kimoja master, Public toilets jiko kubwa na sebule kubwa. Iko ndani ya fence na Apartment nyingine tatu. Ipo maeneo ya Tegeta...
4 Reactions
9 Replies
838 Views
Habari Naomba majibu. Ni biashara gani inalipa sana ila watu hawajaishtukia?
8 Reactions
48 Replies
3K Views
hiki kifaa kwaajili ya Packaging machine.
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Hapo zamani, TAASISI au COMPANY zilikuwa zinatumia mifumo(systems) nyingi (zaidi ya mmoja) katika kuratibu shughuli za kila siku. Kwa Mfano Taasisi au Kampuni moja yenye departments tano(5)...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km Ukubwa ni 1,400 square metre Bei ni 90m Piga 0625617565 Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni...
1 Reactions
1 Replies
422 Views
Nauza laini za wakala Tigopesa, Mpesa, Airtel money na Halopesa na Selcom Machine Laini za uwakala zote nne nauza kwa 300,000 Mashine ya selcom nauza kwa 200,000.(Inafanya kazi na ia hali nzuri)...
4 Reactions
4 Replies
924 Views
Wakuu nahitaji saa hii original.
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia. -Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama...
6 Reactions
76 Replies
4K Views
Boresha Video na Picha zako kwa kutumia Ringlight zenye Ubora wa hali ya juu. Zinafaa kwa wafanyabiashara na watu binafsi. 1. Saluni za kike 2. Saluni za kiume 3. Watu wa urembo na makeup 4...
0 Reactions
3 Replies
687 Views
Nyumba na Kiwanja Kinauzwa – Sinza Kijiweni 🌆 📍 Mahali: Ipo Sinza Kijiweni, karibu kabisa na barabara kuu ya lami. 📐 Ukubwa wa Eneo: Square mita 338. 💵 Bei: TZS 250 Milioni. 📄 Hati: Ipo tayari. 📞...
2 Reactions
0 Replies
322 Views
Nauza android tv box yenye iptv account, Unapata channel zote zaidi ya 9000+ premium kuanzia super sport, canal sport, na bein sport, channel za watoto habari na music zote live mechi zote live...
0 Reactions
1 Replies
507 Views
Nipo mwanza mjini natafuta mbwa Bei iwe kitonga aisee sitaki mbwa wa kizungu. Rangi: Nyeusi itapendeza zaidi Tabia: Mkali sana Bei: Isizidi elf 20
2 Reactions
66 Replies
3K Views
Wazee kwema? Nina tracks mbili hapa kiuno 36 unyama yani. Light grey(bottega) moja na nyuesi moja (versace). Ziko mbagala hapa. Quality njema na yenye kupendeza, nguo mpya kabisa Bei yake ni...
4 Reactions
21 Replies
806 Views
Nauza paka (Felis catus) ana mwezi 1-3, elfu tatu 10,000/= njoo umchukue Location: Kigamboni Piga: 0759448927
28 Reactions
157 Replies
10K Views
Hapa utapata Cover 360 Back cover Charger OG Memory cards Flash n.k Cover kama hizi utapata mpaka kwa 4000 kwa reja reja na kwa jumpa bei inapungua zaid ya hapo. Samsung Tecno Infinix Itel...
3 Reactions
103 Replies
50K Views
Habari za wakati huu... Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa... Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho.... Kilomita mbili mpaka madale mwisho... Kilomita mbili mpaka Goba njia nne...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
kwa anaehitaji saloon ya kiume in a kila kitu mashine za kunyoa 2, vioo 3, viti vya kunyolea vya dukani 2 kiti cha wateja cha chuma vile special vya dukani kinakaliwa na watu watatu 1 ,shelf 2...
4 Reactions
8 Replies
778 Views
Habari ya asubuhi Waungwana, Poleni na Hongereni na Mapambano, Kwa wale wazazi, ndugu pamoja na Jamaa ambao wanahitaji watoto wao kufundishwa nyumbani (Darasa la 1 mpaka wale wanaosoma Vyuo vikuu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Je wajua hata mtoto wako anaweza kumiliki gari tena Mercedes Benz! Gari hii Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v) Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales) Inafaa watoto...
10 Reactions
75 Replies
2K Views
Back
Top Bottom