Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mambo vipi waheshimiwa? Kama kichwa kinavyojieleza mwenye nayo naomba tuonane PM. Au anicheki hapa 0712016405. Nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Wakuu kama kichwa kinavo jieleza apo gali ina itajika kule zakiem mbagala kuchukua mzigo-- njoo pm tuongee vizur
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau nahitaji shamba la eka moja na zaidi iwe maeneo ya karibu au Kibaha,Mpigi magoe nl
0 Reactions
4 Replies
944 Views
L
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Microwave inauzwa bei Chee.TSH.185,000/= Aina -SHARP 25 Litre Touch Control 900W Microwave Oven 11 Power Levels 6 Auto cook menus 2 Express defrost menus Auto minute start Child safety lock...
2 Reactions
22 Replies
11K Views
-Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/ = -Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva- Tshs.600,000/= -Gearbox-Tshs.200,000/=...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
-Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/ = -Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva- Tshs.600,000/= -Gearbox-Tshs.200,000/=...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
African capital ni taasisi inayohusika na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikali. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Malipo ni kwanzia miezi sita mpaka miaka mitano. Riba...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Kiwanja kinauzwa Ukubwa 32*32 Kipo Dar es salaam eneo la kinyerezi_Kifuru(hali ya hewa) Umeme na barabara vipo Bei: Tsh.15million maelewano yapo. Dalali haitajiki Mawasiliano: +255712264469...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Pikipiki aina ya sunlarg, cc 125-5, imetumika kwa miezi 8 tu,. Imesajiliwa kwa muundo wa sasa wa MC, haidaiwi kodi, adi mwezi January.. Iko imara sana kwa matumizi ya Bodaboda na nyumbani. Bei...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za kazi wanajavi wenzangu kwa mahitaji ya kufungiwa electric fence,gate motor,pamoja camera majumbani na ofisini tunafanya kazi hizo kwa bei nafuu kabisa tunapatikana kariakoo mkabala na...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Kiwanja kipo eneo zuri na karibu na barabara Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam. Kina ukubwa wa 20*20 mita, bei milioni 20 tu, maelewano yapo. PM kwa biashara.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cm bd n mpya kabisa 390,000 Contact 0719210905
0 Reactions
8 Replies
859 Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri sana. Kiwanja #29 & #30 Bado...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza viwanja Moshi (Kawawa,Uchira,Mabungo, Pumwani,barabara ya Kilema ) viwanja vipo vya kuanzia mill 2 vyenye maji tu vipo pia vya kuanzia mill 4 vilivyo karibu na kila kitu barabara ya lami...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Msiwe na wasi wasi watanzania...tuko salama na ulinzi wa kutosha hizo ni fataki tuu wala sio mabomu....kuweni na amani
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Nahitaji gari iliyotumika, iwe haidaiwi na TRA kodi zote ziwe sawa 0626658983
0 Reactions
2 Replies
992 Views
Ndugu wadau naomba kufahamu. Je, ni kampuni lipi ambalo linatoa huduma ya kuuza magari kwa installments?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…