Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJF naobeni msaada wenu nahitaji laini ya TTCL ya 4g, je ntaweza kupata wapi nipo Dar kwa kesho jumapili? Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
818 Views
Gari hiyo inauzwa, 10m kama upo interested tuonane pm
0 Reactions
5 Replies
937 Views
Nyumba inauzwa 60m iko mbagala chamazi, ina vyumba vitatu kimoja master, dining, Jiko,store, choo, sebule, eneo la parking full fenced pia Ina Hati miliki etc.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Pata raman za nyumba Kwa mawasiliano. 0652130410
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei ya tray ni 12000 delivery ipo kwa walio dar es salaam piga 0655497678/0755497678 sasa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mashart mazuri kila rangi unaweza kuchagua rangi utakayo na kwa kutoa oda piga smu au whatsap no 0656436662 tuko dar es salaam karibun sana kila shart ni 25000 tu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu humu ndani, Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira nimeamua kuuza simu yangu iPhone 5s nimetumia mwezi 1 tu. Bei ni shs.650,000/=.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Jipatie kiwanja kuanzia million 3.5 maeneo ya mbagala vikindu... wasiliana nami nikupeleke uka chague mwenyewe na ujioneee mwenyewe Shukran Namba 0713 632 207
0 Reactions
2 Replies
796 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu.rangi ni ya silver kama unahitaji ni pm au nitafute namba no 0762405614.
0 Reactions
3 Replies
838 Views
Make: nissan Model: patrol Model number: JNITCSY61Z Engine capacity:4169 Fuel: diesel Price: 30milions Kwa mazungumzo n maelewano 0659445718
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Habari wanajamvi,natafuta mpambaji mzuri wa harusi
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa chanika zingiziwa,bado finishing,bei milioni 40,PM kama mteja.
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Bei tsh mil 16.5 1.plate number T675-DGA 2.Ya mwaka 1999 3.imetembea km 106,000 4.ina CC 2900 5.ipo katika hari nzuri 6.engine ni 6 cylinder lakini ni VVTi ambayo sawa na 4 (wanaojua magari...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu salaam Kwa mwenye uhitaji na Tikiti maji Zipo F1 pundamilia ujazo wa nguvu shamba lipo Mwadui shinyanga karibu na senta ya maganzo. Nipigie 0765021800 Au pm Karibuni sana
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Product Highlights Multi-System Compatible HD 1366 x 768 LED Panel Clear Motion Rate 100 Technology Wide Color Enhancer Plus Technology Access Streaming Content & Apps Built-In Wi-Fi & Ethernet...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Destiny Business limited ni company inayotoa huduma ya kutengeneza car parking shades za kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani, ofisini ,hotelini nk. Ofisi yetu ipo Sinza...
1 Reactions
7 Replies
13K Views
1000watts Smart Full HD Up-scaling Premium content Wireless Audio Streaming via Bluetooth USB Direct Recording & Playback 3D Playback LG Apps Wired(Ethernet) External HDD Playback price: 780,000...
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Kushirikishana mitonyo siyo vibaya, kampuni ya simu ya Itel kwa kushirikiana na VodaCom, imeanzisha promosheni inayokwenda kwa jina la #SmartGulio pale Mlimani City Dar es Salaam ambapo mtu...
1 Reactions
0 Replies
891 Views
Wakuuu nyumba Hii Ina uzwa mbagala kuu Ina vyumba 3, sebule , dining room na choo cha ndani na stoo .... BEI-MILION 60...,,wasiliana na mm PM picha Zina kataaa ku upload so Kama uko interested uta...
0 Reactions
2 Replies
915 Views
Back
Top Bottom