African capital ni taasisi inayohusika na kutoa mikopo kwa watumishi/wafanyakazi wa serikali dar ea sala. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na utalipa ndani ya miezi sita mpaka miaka...
Used
Dell inspiron 15R Special Edition
Screen:LED
CORE i7
RAM 8GB
1TB(1000GB) Hdd
USB 3.0 4ports
2gb intel hd graphics
Amd 2gb graphics
PLAYS ALL HIGH GRAPHIC GAMES
tsh. 810,000/=
Stays with...
Malumalu : Nyumba nzima
Gypsum: Nyumba Nzima
Maji: Yapo
Umeme: Upo
Bei: 150,000 kwa Mwezi
Hali Ya Nyumba: Mpya
Mahali : Kigamboni Tungi (Km 1 toka Ferry/kwa usafiri ni Dakika saba umefika)...
Wakuu,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo msakuzi njia ya kwenda mpigi magohe.Vyumba 3, kimoja master, jiko, sebule, dinining, public toilet.
Mnakaribishwa kujionea
Gari bado mpya ipo katika hali nzuri kuanzia engne ,body na vibali vyote safi kabsa,ina gear 5,4WD na AC inafanya kazi vzuri kabsa. Bei milion7.8. mawasiliano 0712567954
Natoa huduma mbali mbali za ICT kwenye Shule,Ofisi, au mtu binafsi.
Tembelea Netset Company Limited | where technology assures your comfort
Nawasilisha.
AnayehitajI chumba mabibo hostel kwa wanafunzi wa mwaka wa pili na wengine for male only anichek pm kwa kesho kama ana cash nimpe coz mm sitokaa hostel
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
Wakuu, kama heading inavyojieleza....
Ninahitaji mtu Anayeweza kunikopesha Milioni 2 na nitairudisha ndani ya miezi miwili Kwa Riba...
It's Urgent, please I need your help...
habari zenu wanajamvi. ninauza kiwanja changu, kina ukubwa wa hatua 20x20 kwa bei ya Tsh 15,000,000/- maongezi yapo. kipo kerege bagamoyo mita 100 toka barabara kuu ya dar bagamoyo,umeme upo...
Husika na kichwa cha habar hapo juu.
Kama unajua una chumba chenye choo ndani na kipo kati ya Mbezi Mwisho au Mabibo tafadhali nitaftee kupitia namba 0655184593 WhatsApp namba hiyo au msg me...
NAIUZA HII BIKE AINA YA HONDA NEXUS,CC 250,INATUMIA STARTER,INA GIA 5,INATUMIA REJETA.....IKO NA KADI YAKE,ISHASAJILIWA....HII PIKIPIKI ILIKUWA IMPORTED KUTOKA DENMARK....KWA WALE WATUMUAJI WA...
Nimepata matatizo,hivyo nauza kiwanja changu kipo Mwanza-Nyegezi kkata ya Luchelele,kiwanja kimepimwa na kina 15 kwa 30,nauza milioni 4,kiwanja kipo kilomita tatu toka chuo cha saut mwanza na km...
Kiwanja kina sq 663 kipo Buyuni CCM Chanika block 19 plot namba 270 kina nyumba imefika kwenye renta.
Nina shida sana naomba mwenye kuhitaji anicheck mimi mwenyewe mmiliki hakina cha dalali...