Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Laki tatu tu Had disk gb 500 Ram 4 gb Duo core prosesa
0 Reactions
5 Replies
966 Views
African capital ni taasisi inayohusika na kutoa mikopo kwa watumishi/wafanyakazi wa serikali dar ea sala. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na utalipa ndani ya miezi sita mpaka miaka...
0 Reactions
0 Replies
519 Views
  • Closed
Used Dell inspiron 15R Special Edition Screen:LED CORE i7 RAM 8GB 1TB(1000GB) Hdd USB 3.0 4ports 2gb intel hd graphics Amd 2gb graphics PLAYS ALL HIGH GRAPHIC GAMES tsh. 810,000/= Stays with...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Malumalu : Nyumba nzima Gypsum: Nyumba Nzima Maji: Yapo Umeme: Upo Bei: 150,000 kwa Mwezi Hali Ya Nyumba: Mpya Mahali : Kigamboni Tungi (Km 1 toka Ferry/kwa usafiri ni Dakika saba umefika)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo msakuzi njia ya kwenda mpigi magohe.Vyumba 3, kimoja master, jiko, sebule, dinining, public toilet. Mnakaribishwa kujionea
0 Reactions
10 Replies
1K Views
nna uza kiwanja size ya 20*45 kipo Moshi (Kawawa road) uzunguni kina maji kipo karibu na umeme na lami nna shida ya hela ya haraka 0621068486
1 Reactions
9 Replies
1K Views
karibu bidhaa hiyo ni nzuri sana,bidhaa utaletewa mpaka ulipo kwa Dar es salaam na mikoani tunatuma . Kwa maelezo zaidi what's app 0769643939
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari bado mpya ipo katika hali nzuri kuanzia engne ,body na vibali vyote safi kabsa,ina gear 5,4WD na AC inafanya kazi vzuri kabsa. Bei milion7.8. mawasiliano 0712567954
0 Reactions
1 Replies
786 Views
Natoa huduma mbali mbali za ICT kwenye Shule,Ofisi, au mtu binafsi. Tembelea Netset Company Limited | where technology assures your comfort Nawasilisha.
0 Reactions
2 Replies
877 Views
AnayehitajI chumba mabibo hostel kwa wanafunzi wa mwaka wa pili na wengine for male only anichek pm kwa kesho kama ana cash nimpe coz mm sitokaa hostel
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Wakuu, kama heading inavyojieleza.... Ninahitaji mtu Anayeweza kunikopesha Milioni 2 na nitairudisha ndani ya miezi miwili Kwa Riba... It's Urgent, please I need your help...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
CIty NET CO. LTD | Facebook
0 Reactions
3 Replies
628 Views
habari zenu wanajamvi. ninauza kiwanja changu, kina ukubwa wa hatua 20x20 kwa bei ya Tsh 15,000,000/- maongezi yapo. kipo kerege bagamoyo mita 100 toka barabara kuu ya dar bagamoyo,umeme upo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habar hapo juu. Kama unajua una chumba chenye choo ndani na kipo kati ya Mbezi Mwisho au Mabibo tafadhali nitaftee kupitia namba 0655184593 WhatsApp namba hiyo au msg me...
0 Reactions
0 Replies
657 Views
NAIUZA HII BIKE AINA YA HONDA NEXUS,CC 250,INATUMIA STARTER,INA GIA 5,INATUMIA REJETA.....IKO NA KADI YAKE,ISHASAJILIWA....HII PIKIPIKI ILIKUWA IMPORTED KUTOKA DENMARK....KWA WALE WATUMUAJI WA...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimepata matatizo,hivyo nauza kiwanja changu kipo Mwanza-Nyegezi kkata ya Luchelele,kiwanja kimepimwa na kina 15 kwa 30,nauza milioni 4,kiwanja kipo kilomita tatu toka chuo cha saut mwanza na km...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye kuweza nisaidia injini ya hiyo pkpk plz njoo inbox au 0678487207
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 70m*70m . Bei 13 ml. 0753101293
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kina sq 663 kipo Buyuni CCM Chanika block 19 plot namba 270 kina nyumba imefika kwenye renta. Nina shida sana naomba mwenye kuhitaji anicheck mimi mwenyewe mmiliki hakina cha dalali...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…