Habari zenu wana jamvi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu shida yangu ni kwamba natafuta kitabu cha hapo pichani kama wewe mkazi wa Dar Es Salaam unaweza kunitajia sehemu wanayouza hiki kitabu...
Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF
Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam
Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru Sana.
Sabakheri wadau natafuta soko la sungura weupe na weusi ninao 527.
wapo morogoro mjini.
bei maelewano kama unalifahamu soko nijuze hapa au kwa simu 0674128230
Habari za jioni wana JF,
Naomba msaada wa watu wa Arusha au uishie nje ya Arusha natafuta mawasiliano ya watu wa Redio za Arusha mfano Sun rise na Triple A Nina shida nao sana ninaomba msaada wa...
Habari za leo?
Nahitaji kununua hard disc mpya au iliyo kwenye hali nzuri iwe na uwezo si chini ya GB300.
Mwenye nayo tuwasiliane,nipo Arusha.Mawasiliano 0752489529
Kwa wale wafanyabiashara wenye uhitaji wa makontena kubebea mizigo yao mnakaribishwa kutuona ofisin kwetu New national building Saza-Road chang'ombe Dar es salaam.Aina zote tunayo kuanzia...
ARGI + ni kinywaji ambacho ndani yake ina kimelea cha L-arginine ambacho kina amino acid ya kutosha ambayo ikingia ndani ya mwili huwa nitric oxide ambayo husaidia mishipa ya damu kufunguka na...
African capital ni taasisi inayohusiana na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikalo dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipo ni kwanzia miezi sita mpaka...
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious...
Tunazo sealing machine ambayo ipo dukani tayari zinafunga glass za plastiki kwa wale wanaopaki maziwa au juice inawafaa sana. ZOTE NI MPYA. Nauza 213,000 tu. piga 0718520552