Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karibun tupo arusha 0755661541. Wakuu jiko linatumia mkaa kidogo sana na inasave kwa asilimia 50-60 kwa matumizi yako...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wakuuuu.................... kama ilivvo hapo juu nauza laptop aina ya hp bei 380000 hard disk 500gb ram 2gb
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Habar za asubuh wakuu, nauza printer ya color ina scan, print na copy. Bei ni 500000. Karibuni 0755661541
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani mwenye kuuza starlet ya kuanzia milioni mbili anijuze
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929,0655726929 na 0742188846...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Habari za leo ndugu zangu. Nina mzigo wa spare ya TVS King ( wengi tumezoea kuziita Bajaj) aina ya Minor Kit (Rubber za Master) kama zilivyo zoeleka mtaani. Nina pieces 500 kwa sasa na nauza kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kama unaitaji kiwanja , magari aina zote , nyumba mahali popote usiogope kuntafuta upate uepec katika kuvipata piga namba 0628353336 au 0719702658 au 0682281995
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Hbr za majukumu wadau, nina mpango wa karibuni wa kununua water pump kwa ajili ya kurahisisha Kilimo cha umwagiliaji, nalima ekari 2, chanzo cha Maji ni mto. Mtu mmoja akanishauri nianze na water...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jipatie kitanda cha 5 kwa 6 kwa shilingi 160000 tu. Kinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm). Nitafute kwa nambari 0764858251 au 0689922279
0 Reactions
7 Replies
7K Views
- Nabadilisha mikanda/tape za vhs kwenda mfumo wa digital yani kuziweka kwenye memory au dvd e.g. mikanda ya maharusi, vipaimara, etc (vhs tapes to modern digital video conversion...store in...
4 Reactions
3 Replies
591 Views
Nilinunua friji yangu aina ya candy kubwa mtumba nikaiwasha kwa 3 month bila tatizo shida niliyoiona ni thermostat ilikuwa hijizimi na kuwaka kama nyngn, tatizo limejitokeza baada ya kuizima...
0 Reactions
9 Replies
610 Views
jipatie memory card zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu kabisa na upewe warrant ya miezi 12, 4gb-7,000 8gb-10,000 16gb-14,000 kwa wanaohitaji jumla na rejareja pia napatikana mwanza,mikoani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji Computer yenye Ram GB 8 nakuendelea kiufupi yenye uwezo mzuri iwe mpakato kwa matumizi upande wa Vidéo Editing.
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Nahitaji Computer yenye Ram GB 8 nakuendelea kiufupi yenye uwezo mzuri iwe mpakato kwa matumizi upande wa Vidéo Editing.
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu,nahitaji kujua bei za tanks za kutunzia maji na ni tank gani ni bora kati ya Kiboko na Polytanks!!!
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu kuna jamaa yangu anauza kiwanja chake tabata segerea kabla ya daraja la majumba sita kuria, kiko takribani meter 150 kutoka barabarani Hakina hati ukubwa ni kama 20 by 20 Kwa anayehitaji...
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Kiwanja kinauzwa, kipo kibaha, eneo viziwaziwa, kinaukubwa wa 25 kwa 30 (mita), bei million 2 fixed. 0766120777
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Infinity works, tunatengeneza madirisha, milango, partition za ofisi, maduka ya madawa, makabati kwa kutumia alluminium. Tumehamishia ofisi toka tegeta kwa ndevu kwa sasa tuko tegeta njia ya...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari. Nauza stand za tv na redio. Ni imara na zinastahimili uzito na zinapatikana dodoma west chinangali karibu na hijra au chama kubwa (ccm) kwa bei ya shilingi elfu 60 (60000) nitafute kwa...
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…