Habari wajasiliamali wenzangu, pamekuwa na changamoto nyingi sana kwenye sekta ya usindikaji hasa kwenye upande wa packaging embu njoon tujadili wapi pakupata packages kulingana na matakwa yetu...
Rejea kichwa cha habari hapo juu,kiwanja kinapatikana kwa 5milion.kipo mkulanga kise magengeni.DAKIKA 5 kutoka barabara kuu kwa miguu .UKUBWA NI 35 kwa 30 Hakijapimwa.
KINGINE KINAPATIKANA KWA 12...
Wakuu Mimi ni mtaalamu niliyebobea kwa masuala ya Google AdSense na Facebook multi poster, Ninatengeneza AdSense account kwa bei Nafuu kabisa.
Pia natengeneza mifumo kama vile Facebook multi...
Yawezekana wewe ni Mjasiriamali, Mbunifu, Mwanateknolojia, ama Mtatuaji wa changamoto mwenye uraia wa Tanzania ? ambaye unatamani kubadilisha maisha ya watu haswa katika upande wa Afya vijijini na...
Salaam wakuu.
Kama heading inavyojieleza hapo nahitaji viti (kununua)vile vya chuma vinavyotumika kwenye shughuli mbali mbali...kama kuna mwenye leads namna au maduka vinapopatikana(dar) nitashukuru
Habari wadau, samahani kwa yeyote anaejua upatikanaji wa fridge ya cocacola au pepsi anisaidie nmefungua biashara lakin nashindwa kufanya biashara kwa wiredi kwa sabaubu ya FRIDGE.
AKSANTE
MILIAGE 89000
Cc 1290
BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO
GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA
KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..
habari za muda huu waungwana.
kuna jamaa yangu amekuwa akiniuliza kama kuna mtu nayemfahamu mwenye maji mekundu(mercury) yenyewe anahitaji bei poa. Sasa mwenye hiyo kitu anicheki pm.
Hallow wadau naomba kujua mahali zinapouzwa mashine ya popcorn hii inayotumia baiskeli pamoja na jiko la gesi.. Naomba kujua bei yake na mahali zilipo nipo dar... Asanteni
Msaada,
Nahitaji kukodisha gari kati ya haya kwa siku moja, BMW au range rover sport kwa ajili ya harusi. Aliye na access anipe gharama yake na contact .
Habari Wanajamii,
Viwanja vinauzwa maeneo ya Salasala karibu na sehemu inayoitwa mwisho wa lami. Ni hatua chache kutoka hapo mwisho wa lami na nimeorodhesha Plots zinazouzwa na ukubwa wake hapo...