Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mcbook pro inauzwa bei 1.2m location dar es salaam kwa ataekua interested ani pm for pictures price ni fixed!! number 0621653390
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Nauza simu tajwa hapo juu ambayo ni nyeupw na used. Ni single laini, mfuniko wake wa nyuma una crack kiasi. Ila iko vizuri na haichagui laini. Bei ni 120,000/= cash. Nicheki 0787-561703. Nipo dsm.
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Habarii ndugu zangu wanajamii forum,nauza kiwanja changu kina ukubwa wa miguu 35×35 na kipo sehemu nzurii kwa maelezo zaidii piga no 0658467996
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mashamba /Viwanja vinauzwa (Moshi Kilimanjaro) Mashamba /Viwanja vinauzwa (Moshi Kilimanjaro)
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Mashamba /Viwanja vinauzwa (Moshi Kilimanjaro) Mashamba /Viwanja vinauzwa (Moshi Kilimanjaro)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Poleni na majukumu. Wanajamvi wenzangu, mimi nipo kijijini huku, nimeiona changamoto moja nahitaji kuifanya fursa, changamoto yenyewe ni ukosefu wa maturubai ya kutundika...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Details of this vehicle Year: 2001 Capacity: 1490cc Kms: 24162 (low mileage) Will arrive in Dar port on 10 March 2012 Offer price is Tshs 14m - no room for negotiation. Please send me your...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza kiwanja kipo Mbezi msakuzi umeme na maji vipo hapo hapo 40*20 40*17 Tsh. Mil. 11.5 0625568600 Kiwanja ni changu piga simu tuongee Karibu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada mwenye hii series naiomba please....naipenda sana
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tunauza kuku na kusambaza popote ulipo unafikishiwa kwa mikoa ya Dar, Iringa na Morogoro gharama za usafiri ziko kwetu. Bei zetu ni nafuu sana weka order yako sasa ndani ya siku tatu unaletewa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Nyumba za kupangisha Dodoma, area A, area C, Kisasa na Nkuungu, zinapatikana, 0754030285, Karibuni Dodoma.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
natafuta simu TECNO FANTUMU6+ MPYA NA UNAIUZA SH.NGAPI
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Natafuta fundi mzuri wa TV Nina TV yangu LG 46" inawaka kwa kumwekuamwekua baadae inakaa sawa. Ila inaonyesha kama imeongeza mwanga na picha unaona kwa mbali kama kuna ukungu hivi wanajamii.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana Kwa trey 10500 Kwa Moja moja ni sh 400 Weka order yako mapema 0758728258
0 Reactions
6 Replies
6K Views
hi wana jf kwa mwana jf yeyote ambaye anauza blog kwa bei ya sh 10,000 so zaid ya hapo iliyo fresh anibip kwa namba 0678895505 mimi nitamshukia hewani tufanye biashara fastaaa!!!!!!!!!!!!!!
1 Reactions
7 Replies
845 Views
Tunauza ubuyu safi na mtamu wenye tangawizi kwa bei nafuu kabisa kuanzia sh.500 kwa pakt. Tunafanya delivery kwa wateja wa jumla
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Full box tecno camon c7 for 230, 000 tshs.
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Habari wana JF? Nashawishika kumiliki Blog lakini sina uelewa wowote kuhusu mambo ya hizo blogs. Naomba kujuzwa yafuatayo kabla sijachukua uamuzi; 1. Jinsi ya kufungua hiyo blog 2. Jinsi ya...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Nauza asali kutoka tabora ya nyuki wakubwa kwa bei rahisi napatikana dar es salaam...kuanzia litre moja, tano hadi ishirini ... unaweza nitext pm kwa ajili ya bei ...pia napatikana kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Nauza kuku wa kienyeji mtetea waliyotayar kuanza kutaga kwa sh 12,000 tu Wapo 11 Tuwasiliane kupitia 0758728258 Napatikana dar es salaam,nyuma ya ubungo plaza
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…