Wapendwa habari za mchana,naomba kama kuna mtu unamfaham ambaye anahusika na kupack dvd au cd covers na printing naomba uni PM ,ili tufanye kazi
Asanteni kwa umakini wenu
Kama una nyumba na unataka ipendeze, basi wasiliana nami,, tunapaka rangi kisasa, tupo dar, hata mkoani tunakuja ukitaka, bei zetu ni nafuu sana,, wasiliana nami kwa namba 0769217553
nilikuwa na tatizo hili lilinitesa! hata kutongoza nikihofu! kwamba huyu atanitangaza na kudhalilika, baada ya kuhangaika kwa takriban miaka 12 hatimae mungu aliionyesha njia! sikutegemea kuna...
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation utaendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa...
Habari Wana JF.
Nyumba inauzwa, iko Magomeni Mwembechai,Mtaa wa Rudewa. Ina maji na Umeme. Haina Matatizo ya Barabara. Iapitika 24/7. Ni ya vyumba Sita(Nyumba Kubwa) na Vyumba Vitatu(Uani). Ina...
Jiko linauzwa
*lina oven na plet mbili kwa juu
*Ni zuri halina matatizo yoyote kwani halijatumika sana(ni kama jipya tu)
*kama unafanya biashara ya keki litakufaa zaidi
*bei ni lakimoja na...
KISIMA KISIMA KISIMA KISIMA.
HABARI NJEMA KWENU AMBAO MPAKA SASA MNASUMBULIWA NA SWALA MAJI IWE NI KWA MATUMIZI YA NYUMBANI AU SHUGHULI ZA KILIMO AMA UFUGAJI.
MIMI NAWALETEA UFUMBUZI WA...
*INSTITUTE OF PROCUREMENT AND SUPPLY - IPS*
"Chuo cha ugavi na ununuzi"
Chuo kinatangaza nafasi za masomo kwa wahitimu wa kidato cha nne na sita kwa kozi za Cheti na Diploma katika Fani ya...
Kama heading inavyojieleza. Simu ipo katika hali nzuri kama kwenye picha inavyoonekana.
Specifications:
16 GB ROM
16 mpxl primary camera
2 GB RAM
Fingerprint etc
Price: 450,000/= Tzs (fixed)...
Gari ipo poa haina shida yyt ile nauza kwajili ya matatizo tu
Full vibal
Tair mpya
Full ac
Haina shida yyt ile wala matengenezo ya kiufund
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Bei maelewano mimi ndo...