Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Agiza gari Japan kwa punguzo la bei kwa kutumia BFS namba 448745 toka beforward. Nipigie tuongee upate gari. ,
0 Reactions
1 Replies
919 Views
Habari wanajamvi! Ninauza maharage ya Kigoma ya njano tani moja! Mzigo upo DSM,@ kilo ni TZS.1,600/= Anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0621002220! Karibuni!
1 Reactions
2 Replies
755 Views
Wadau, Heshima zenu nyote. Mimi nina hobby ya kupiga picha na ninahitaji background sheet mpya (yaani kile kitambaa chenye mchoro fulani kinachowekwa nyuma ya mteja ili kuleta mandhari mazuri...
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Absolute printing service Ltd ni kampuni inayousika na utatuzi wa matatizo yote ya printing Kama vile uhuzaji wa machine za printing na vifaa vyake, designing, branding na printing. Tunafanya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
LUMIA 640XL DUAL SIM Brand New Long lasting battery, 3000mAh 5.7-inch screen 13MP Camera FM Radio 480,000/=
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoani NJOMBE Lina ukubwa Wa ekar 500 Bei ni tsh 100000 Na linauzwa kuanzia ekar 50 Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Mwenye shida ya Tangawizi fresh kutoka shambani tuwasiliane 0629133237
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Habari za majukumu ya hapa kazi tu huku tukiendelea kusoma namba Chumba na sebule kinapangishwa mahali Mabibo mwisho Bei elfu 80 kodi ya miezi sita Sifa za nyumba Kuna geti Maji yapo ya bomba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Eneo morogoro makunganya, kimepimwa, kina ofa, ukubwa 51207 sq m. Ni kwa ajili kujenga shule sekondari. Kwa mawasiliano 0754319861, 0715319861
0 Reactions
3 Replies
819 Views
Habari za muda huu, samahani naweza kupata simu ya Tecno ya bei chee ambayo ni used! Simu yoyote kuanzia Android 2.3.5 Gingerbread na kuendelea! Iwe P3,L3,M3 wewe weka bei tu Kikubwa iwe na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NAUZA TSH 320000 Cm ipooo poaaa Bado mpyaaa Inaaaa 32GB Battery Long Last Camera QUALITY BOOM SOUND Kwa mawasiliano 0757645436
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza s6 edge. Haina tatizo lolote. Nipo tiyari kuexchange kwa s7 edge gold. Naongeza pesa. Nitafte kwa 0759741303. Simu imesha chukuliwa. Asanteni kwa ushirikiano
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari!!!! Kama title inavyojieleza, natafuta mahali ambapo naweza kufungua mgahawa kwa Dsm,,, nahitaji mongozo wenu kama kuna sehem unaifaham nipr direction tafadhali.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 50 kwa 50 kinauzwa kipo maeneo ya mbande/rufu kiwqnja kipo jirani na barabara umeme na maji umefika mpaka mlangoni... bei sh 4.5M maelewano yapo kwa...
0 Reactions
5 Replies
940 Views
Nahitaji simu wakuu kama heading ilivyojieleza hapo juu, iwe mpya. kama sitopata basi hata ushauri wenu ni muhimu ili nikienda dukani nisibabaike sana. Niko Tanga Natanguliza shukrani
1 Reactions
89 Replies
7K Views
Habari za mchana ndugu zangu kama wewe ni mtaalamu wa kutengeneza online matangazo njoo PM Nahitaji kutengeneza online advisement.... Please PM...Fasta
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari WanaJF, Kam kichwa cha habari kinavyosomeka. Nahitaji hilo cover maana ambalo lilikuwepo kwenye gari langu limeibiwa na wezi wa hapa mjini kwa kuwa nilikuwa sinaliwekea super glue. Hivyo...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Jipatie mabegi ya kusafiria kwa bei poa kabisa mkoan unatumiwa dar unaletewa popote ulipo kwa Tsh 110,000 Kwa mawasiliano 0758 703228/0719551212
0 Reactions
1 Replies
18K Views
Habari, Kichwa cha habari kinajieleza. Kiwanja kipo uswahilini mwisho wa Ice maji na umeme umefika kadhalika gari inaingia. Ukubwa 28x8 kina nyumba ya vyumba vi tano (5) viko kwenye lenta.Bei...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…