[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA NA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN (mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00
-COMPANY...
Kama tangazo linavyojitangaza nauza feni la ukutani la kisasa limetumia remote limetumika wiki mbili
Bei sh 50000
Nauza pipa la maji lita 250 nalo halikatwa kwa matumizi bado bei ni sh 50000...
Zipo nyumba mbili zinapangishwa maeneo ya mlimani city. Nyumba ya kwanza ni ndogo ina chumba na sebule jiko pamoja na choo chake. Bei yake ni 150 000 kwa mwezi kodi ya mwaka inahitajika.
Nyumba...
Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices.
Ø We also provide Solution and...
Pamoja na huduma zote tunazotoa, napenda kuwakaribisha watu binafsi wote wanaotaka kucholewa ramani halisi kwa kutumia GPS ( Cadastral Map) ambazo zinahusu viwanja, mashamba, biashara zao mahali...
Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices.
Ø We also provide Solution and...
Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita. Kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi. Tupo...
Kutokujua kusoma ni jambo linalokosesha watu maarifa mengi. Kama una ndugu yako mtu mzima asiyejua kusoma mlete katika kituo chetu tumfundishe kwa bei nafuu. Tupo kinondoni Mwananyamala mkabala na...
Inapima kilo 10. Imegongwa na wakala wa vipimo. Ipo dsm. Imetumika miezi 4 tu. Ni mpyaaaaaaaaa kabisa. Haina tatizo lolote. Nime replace na moja kubwa digital.
Bei maelewano. Ila ukinipa 120 sio...
Ø We sale and rent higher resolution advanced GPS and other Trimble Products for GIS and Mapping that highly improves productivity for reasonable prices.
Ø We also provide Solution and technical...
Wakuu swalamaaa humuuuu???
Naulizia kama kuna mtu yeyote mwenye utaalam wa hizi TV za HiSense hasa hasa katika ubora wake na vitu gani vinasumbua sana kwenye hizi TV.
Na pia ushauri kwa TV za...
Habari wana JF!
Leo nimeona niwaletee simu ya infinix NOTE 3! Ni simu niliyoitumia kwa miezi minne tu!
Sifa kubwa ya hii simu ni kukaa na chaji, so far imezipiku simu nyingi katika hii nyanja...
Kitanda cha mtoto kinauzwa kwa bei ya shilingi 200,000. kina kabati lake kwa ajili ya vitu vidogo vidogo vya mtoto, kina droo chini ya kitanda, kina neti maalumu na godoro lake, kina uwezo wa...
Wandugu salam,
Natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya mikocheni au mwenge. Nahitaji chumba hiko kwa mkataba wa muda wa miezi miwili tu.
Mawasiliano 0657 893 565.
Natanguliza shukrani!
Najibunia kifurushi kinachonifaa kwa matumizi Yangu. Sipangiwagi!
Zamu yako mwanachuo kujibunia kifurushi unachokitaka toka mtandaowako unaoupenda kujiboreshea Huduma ya mawasiliano kipindi chote...