Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Zipo nyumba mbili zinapangishwa maeneo ya mlimani city. Nyumba ya kwanza ni ndogo ina chumba na sebule jiko pamoja na choo chake. Bei yake ni 150 000 kwa mwezi kodi ya mwaka inahitajika.
Nyumba ya pili ni nyumba kubwa ina vyumba viwili jiko sebule public toilet. Bei yake ni 280,000/= kwa mwezi. Kodi mwaka au lak 3 kwa miez 10 Maji yapo. Hakuna fence. Parking ipo. Zote hakuna dalali. Mhitaji apige 0713401812.
Nyumba ya pili ni nyumba kubwa ina vyumba viwili jiko sebule public toilet. Bei yake ni 280,000/= kwa mwezi. Kodi mwaka au lak 3 kwa miez 10 Maji yapo. Hakuna fence. Parking ipo. Zote hakuna dalali. Mhitaji apige 0713401812.