Njoo tukuchimbie kisima kwa gharama nafuu

Njoo tukuchimbie kisima kwa gharama nafuu

"Njoo tukuchimbie kisima"

Hicho kisima mnachimba hapo nitakapokuja?
 
Habari wana jf tunachimba visima kwa bei rahisi kabisa pamoja na kufanya ground water survey
Mawasiliano 0625 576082

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakushauri kwa uzoefu wangu tuuu ili ku attract watu wengi weka bei hapa hapa kuwa unachimba kwa kiasi gani,Yaani weka unyambulisho wenu hapa Mtu ajue anakujaje,binafsi nahitaji kisima lakini nahitaji kuwa attracted kujua Bei kwa mita,or mpaka niyapate maji Tsh ngapi,Gharama zenu zinahuisha nini na nini Mpaka mtu anapata maji kwenye kisima na Pump.
 
pamoja na kufanya ground water survey
Bei zenu zipoje? Mnacharge kwa meter iliyochimbwa?
Hiyo groundwater survey mnaifanyaje/mnatumia kifaa gani?
Mkikosa maji inakuwaje au mnachimba tena kwa site nyingine within the compound bila malipo ya ziada?
 
Back
Top Bottom