JINSI DRINKERS ZINAVYOFANYA KAZI
- Unakuwa na tank lako la maji ambalo una connect bomba toka kwenye tank kuja kwenye banda la nguruwe
- Bomba ikifika kwenye la nguruwe mbele ya bomba ndipo...
J & B ENTERPRISES TUTAENDESHA SEMINA KWA WAFUGAJI WA KUKU, MBUZI, NG’OMBE, NGURUWE NA SUNGURA.
WASILIANA NA ENG. MR. MALINGUMU (0675807782)
UPATE MAELEKEZO YA KINA.
VYUMA vimekaza na UNCLE MAGU kasema tutafute GREASE,nimejiongeza nauza asali ya NYUKI WA wadogo nachukulia MANYARA na supply kuanzia lita 5 kwa Tsh 100,000/
mniunge wadau maisha ni kutafuta.
Salute wanabodi,
Rejea kichwa hapo juu, nina kampuni ya ujenzi ambayo imesajiliwa mwaka 2015, kampuni imesajiliwa kufanya kazi za civil and building.
Mwenye uhitaji tuwasiliane kwa mazungumzo...
Habari wadau;
Kwa anayejua wapi naweza kupata vifungashio kwa Dar es Salaam au Moshi Mjini na kwa gharama nafuu anijulishe pamoja na gharama zake
Nahitaji vifungashio vifuatavyo:
Maboksi,Mifuko...
Leo nmewaletea vifaa kwa ajili ya kupima bidhaa mbali mbali wakati wa usindikaji.
Vipo vya aina mbili:
1. Yenye range 0-32 degree. Hichi kinaweza kupima kiwango cha sukari/ uzito kwenye juisi...
M.i fumigation company
Kiboko ya wadudu wasumbufu
(watambaao&warukao) kama unasumbuliwa na kunguni,viroboto, na nk nyumban&bustanini kwako na kama mifugo wako wanasumbuliwa na wadudu pia na...
Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na...
Habari zenu wakuu.
Nawaletea Mashine ya Ku Press Picha na Maandishi kwenye Tshirt, Vitambaa, mashati N.k kwa Bei Poa. Mashine Hii iPo Morogoro Mjini. Pia Ntakupa ABC za Tshirt Printing kwa...
Poleni kwa msiba wa kuondokewa na Mzee wetu Kingunge Ngombale Mwiru. Nakuja kwenye mada, Nyumba yangu inavuja, mafundi hawakunitendea kazi vizuri na kusababisha nyumba kuvuja hasa kwenye misumali...
Nina acres 20, Miti ni mikubwa ya kuvuna ina miaka 11. Kila acre tsh. Million 4.5.
Mteja anatakiwa kununua acres zote kwa pamoja.
No Dalali, mwenye Shamba na Mteja tunatosha
0767514718
Habari zenu,
Naomba kama kuna mtu yoyote anaweza kunipa information ya watu wanonunuwa pembe za n'gombe na wananunua kwa bei gani kwa kila kilo. Nilishawahi kuskia kuna kiwanda kipo Dar cha wa...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Za Mchana Wakuu,
Shamba heka 50 limepimwa, linauzwa.
Lina Hati ya Kimila iliyotolewa Kisarawe Wilayani,
Shamba hili liko umbali wa Kilometa 71 kutokea Mlandizi Mjini/Stand na Kilometa 93 kutokea...
Habari wana Jf.. Kwa anyehitaji mashudu ya alizeti yanapatikana kw mkulima mimi.. Ninauza kwa Kilo
Kwa atakaehitaji tuwasliane kwa namba 0738-357-205
Sent using Jamii Forums mobile app