Habari wakuu,,natafuta mtu anayeweza nifundisha jinsi ya kutengeneza furniture za kisasa ikiwemo royal sofas,coffee tables n.k,,,nimehangaika nimekosa nimeona nilete hapa kwenu wakuu...
Habari wadau,
Naomba kujua kama kuna mtu anayefahamu mtu au kiwanda kinachouza mifuko migumu ya karatasi (kama ile inayotumika kufungashia cement).
Natanguliza shukrani.
Wadau nauza simu tajwa hapo juu. Simu hii imetumika miezi 3 tu.
Simu hii inatatizo, imepasuka kioo, lakini kioo kimeshanunuliwa hivyo ukinunua simu unapewa na kioo ukabadilishe kwa fundi...
Ndg Eneo Linauzwa Lipo Kinyerezi Kifuru Mtaa wa Hali ya Hewa
Ukubwa wa Eneo 35*25
Lina Hati Miliki na Pia lina nyumba amabayo aijamalizika
Eneo halina Mgogoro
Bei Milion 17
Mawasiliano...
Wapendwa nauza nguo za watoto nzuri jumla zipo chache nilikuwa nauza sasa naondoka Tz kwa atakae hitaji..serious buyer only nichek whatsaap 0716973403 kwa picha za nguo
Habari waungwana. Kwa mara nyingine napandisha Uzi kuomba MSAADA wa kujua gharama Za vifaa vya Saloon n.a wapi naeza pata. NAHTAJI vioo viwili, machine Mbili na stabilizer. NAHTAJI MSAADA wenu...
Job Title:Marketing Manager - Trainee
Marketing Manager Job Purpose:
Disnney International Consultancy is looking for a Marketing Manager as Trainee to join our fast growing Company in Dar Es...
Wadau naomba ushauri kwenu nataka kufungua kiwanda cha kufyatua matofali naomba mnijuze kuhusu jinsi ya kupata soko sababu mashine zote nimeshanunua tayari ss natafuta soko ntalipataje naombeni...